steven nyaganya Senior Member Joined Dec 23, 2017 Posts 116 Reaction score 74 Jan 28, 2018 #1 nahitaji rafiki wa ku-socialize awe wa kike, umri chini ya miaka 22 na asipungue 18 awe anaishi dar, sifa ya ziada awe mzuri sitaki rafiki ntakaeogopa kumtambulisha kwa marafiki wengine kuwa huyu ni rafik yng. kumbuka kichwa cha habar hapoa juu.
nahitaji rafiki wa ku-socialize awe wa kike, umri chini ya miaka 22 na asipungue 18 awe anaishi dar, sifa ya ziada awe mzuri sitaki rafiki ntakaeogopa kumtambulisha kwa marafiki wengine kuwa huyu ni rafik yng. kumbuka kichwa cha habar hapoa juu.
be unique JF-Expert Member Joined Oct 12, 2016 Posts 2,381 Reaction score 2,287 Jan 28, 2018 #2 Ila joh makini kaimba [HASHTAG]#hakunamipaka[/HASHTAG] sasa naona ndugu yangu unaweka mipaka. Basi kama vp na mipanya iwepo (joking)
Ila joh makini kaimba [HASHTAG]#hakunamipaka[/HASHTAG] sasa naona ndugu yangu unaweka mipaka. Basi kama vp na mipanya iwepo (joking)