samhillu12
Member
- Oct 7, 2021
- 94
- 208
Sioni ajabu acheni mama atawala vizuri ili mradi afungi au kuua watu bila sabb.Maoni yangu ni kwamba nchi inaendeshwa na Mapaka[emoji116][emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2453288View attachment 2453289View attachment 2453291View attachment 2453292
Mnaongozwa na mapaka? Mapaka yana akiili kuzidi wananchi? Hakuna haja ya kulalamika.Maoni yangu ni kwamba nchi inaendeshwa na Mapaka[emoji116][emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2453288View attachment 2453289View attachment 2453291View attachment 2453292
MambuziMnaongozwa na mapaka? Mapaka yana akiili kuzidi wananchi? Hakuna haja ya kulalamika.
Huwa unatumia kilevi gani nyakati za asubuhi?Sioni ajabu acheni mama atawala vizuri ili mradi afungi au kuua watu bila sabb.
Sawa Mkuu.Tunashuru hizo zinaitwa propaganda hakuna aliekosea wote wako sahihi Kwa nyakati na hadhira
Mama yupi?Huyuhuyu anaehamasisha ufisadi kwenye Taifa au tumsubirie mwingine?!Sioni ajabu acheni mama atawala vizuri ili mradi afungi au kuua watu bila sabb.
Mnara wa Babeli umeporomoka
Mnara wa Babeli umeporomoka! Hizi zinaitwa fafanyuzi
Yaani! Jamaa wanapambania asali kwa hali na maliamejua vipi mama analala masaa mawili?
πππYaani! Jamaa wanapambania asali kwa hali na mali