upendodaima
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 4,078
- 4,504
Aiseh ulichoandika ndicho nilikuwa nakiwaza toka nianze kusoma maandishi ya huyo dogo,anaremba sana maandishi yaani unaona kabisa he is up to something.Ogopa sana mtu mwenye maneno mengi yanayovutia.
Hapo wa kushtakiwa ni Ontario na hao JP Market...Haiwezekani leo JP Market wakane eti pesa zetu zilikuwa haziwafikii wakati account zetu zinaonyesha salio limewafikia...Jp markets kawaachia huo mzigo clients wao hahahahahaa.....!
Sasa sijui wataanzia wapi na wenye ushahidi na uwezo wa kumshtaki ni Jp na cre sasa hao clients wataanzia wapi na ushahidi watatoa wapi?
Put that proof here kama leo ume withdrawal pesa sbb hii information imeletwa leo na createnwewe ndio umezuiwa wengine tumetoa na pesa zetu ziko salama unataka ushaidi ????? hakuna mjinga hapa pole Jeff hawezi kunishikia hela mimi
Laki si pesa umekuwa mpoleeee nakumbukaa forex is not for everyone [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Thats very correct"Withdrawal and deposits have been put on hold until TMT has advised how they plan to proceed "
Haka kakipengele kamekaa kihuni na kipigaji sana...na kanamaanisha mkwanja wa clients wa TMT JP market wamehuhold until further notice.
Simply means kama ulideposit mkwanja wako haupewi access ya kuutoa tena hadi Jeff arudishe hela ya watu.
Tafsiri yake clients ambao hadi sasa hawajatoa masese yao wamekula wa uso.
Hakyamungu! Ahahaha!
Hapo wa kushtakiwa ni Ontario na hao JP Market...Haiwezekani leo JP Market wakane eti pesa zetu zilikuwa haziwafikii wakati account zetu zinaonyesha salio limewafikia...
Ni mtu mmoja hapo
Nimekulia Capri point best...nazimanya sana zile nchimaboyoo. Zimenichima sana kuboyooo. Ahahaha!Hivi unazijua nchimaboyooo ahahahahh
Ni kinachonitisha ni hapo jp market kusema pesa zilikuwa haziwafikii...yaani hapo wameshawakana clients wao...mzigo wote wamewatupia TMT...na Cre kashakimbia bongo...Kilichobaki ni kumtafuta Ontario popote alipo hapa Tanzania na kumshughulikia mpaka atoe pesa zetu huyu tutamchoma moto"Withdrawal and deposits have been put on hold until TMT has advised how they plan to proceed "
Haka kakipengele kamekaa kihuni na kipigaji sana...na kanamaanisha mkwanja wa clients wa TMT JP market wamehuhold until further notice.
Simply means kama ulideposit mkwanja wako haupewi access ya kuutoa tena hadi Jeff arudishe hela ya watu.
Tafsiri yake clients ambao hadi sasa hawajatoa masese yao wamekula wa uso.
Hakyamungu! Ahahaha!
Ni kinachonitisha ni hapo jp market kusema pesa zilikuwa haziwafikii...yaani hapo wameshawakana clients wao...mzigo wote wamewatupia TMT...na Cre kashakimbia bongo...Kilichobaki ni kumtafuta Ontario popote alipo hapa Tanzania na kumshughulikia mpaka atoe pesa zetu huyu tutamchoma moto
Nilistop kwa muda kutrade baada ya huyu tapeli cre kunipa hasara na migogoro ilipoanza hapo TMT lbado nina salio JP Market mkuu....sasa leo hawa jp market wanatukana hakyanani Ontario tutamchoma motoHahaha, umeshikwa pajani Ee! Mkuu wewe si ulisema hau Trade Forex kwamba ni Scam?
Nakapenda hako ka msemo jamani "FOREX IS NOT FOR EVERYONE" sijui sasa hivi wana slogan ipiWe mtoto unanifurahisha na hiyo term.
Nakumbuka jana kwenye arguments na Jestkilla aliniambia the same.
Jiheshimu u are the one who want to put the proof here i know who u are the way u reply here is the same way u reply people in the group u insult everyone whos against Jeff, i dnt have time for insultnikupe proof wewe kama mbwa gani endeleeni na cre hivo hivo mtaisoma
The future is exciting! [emoji6]Kichwa Kichafu pita huku baba
Hahahahahaah ni tamu zikaangwe ulie ugali tuNimekulia Capri point best...nazimanya sana zile nchimaboyoo. Zimenichima sana kuboyooo. Ahahaha!
I had really good time in Mwanza.
Tuliwaonya wakatutukana [emoji36] [emoji36]Jamaa kala vichwaView attachment 776894
Ahahahahaha don watakuja kusema niniThe Bold hakurudi tena, nilitamani yeye ndiye akatae, siyo huyu kibaraka wake Jestkilla
kwani watu wakubwa hawafanyi Forex...?We jamaa unavyoisifiaga CCM huwa ninadhani ni mtu fulani mkubwa...
Kumbe ni mzee wa Forex.
Pole sana mkuu , unganisheni nguvu ili muweze kupatiwa haki zenuNilistop kwa muda kutrade baada ya huyu tapeli cre kunipa hasara na migogoro ilipoanza hapo TMT lbado nina salio JP Market mkuu....sasa leo hawa jp market wanatukana hakyanani Ontario tutamchoma moto
Hii forex naona humu hizi siku kadhaa natajwa sana na PM kibao me sijapata tatizo kujifunza mambo mapya kila siku kumenifanya niwe na extra akili haaaaaaaaaa