Ontario adaiwa kusepa na Mamilioni ya Wana-Forex

Leta uthibitisho wa hayo unayoyasema maana usifikirie wewe peke yako Ndio unamjua Templerfx zaidi, nina wasiwasi sana wewe ukawa muhanga wa TMT na Jp Market maana siyo kwa povu hilo, tehtehteh
nyie mawakala wa templer mnaboa sana...Yaani kwa kuwa unaweza kuwithdrawal na kudeposit kwa M pesa ndio mmeona kigezo cha kutaka kututapeli...sasa $1 utatrade vip kama sio uhuni tu kutaka kuibia watu mkuu mwambieni broker wenu ashushe spread aache uhuni
 
Leta uthibitisho wa hayo unayoyasema maana usifikirie wewe peke yako Ndio unamjua Templerfx zaidi, nina wasiwasi sana wewe ukawa muhanga wa TMT na Jp Market maana siyo kwa povu hilo, tehtehteh

Naanza kuanda uthibitisho sasa hivi... Nascreenshot spreads za pepperstone na za templerfx from inaelekea saa 4 na nusu, nitarudia tena hela hilo zoezi saa 6 usiku, saa 8 usiku na kesho saa 3 asubuhi. Nitaleta ushaidi hapa kesho maana watu wengine mpo kama tomaso vile. Na nina uhakika kwamba hujawahi trade na broker mwingine zaidi ya templer ndio maana unadhani kila broker huwa anapandisha spread usiku. Kesho nakuzipa mdomo.

Labda kwa kuanza tu.



Nmechukua majors tu... Nitaamka usiku niscreenshot tena.....
 
Unajua kama mtu ana share kwenye kampuni kuna taratibu za kisheria inabidi zifuatwe ili uweze kuziuza share zako sio unaamka tu asubuhi unafanya tu utakacho unless iwe ni kampuni jina tu lakini ambayo haina muundo wa kampuni inayotambuliwa kisheria
 
Sorry ,huyu broker anaitwaje,nimevutiwa na margin +spread kwa gold
 

Umemaliza kila kitu, templer anachezea charti sana, nikishawahi kukuta chati inatofautiana kabisa na broker zaid ya 3 yeye tu ndio yuko tofauti
 
Weka spread za Templerfx hapo for fair comparisons, wacha ku guess! Pamoja na yote hayo nani aliyekuambia kila pair kwenye MT4 lazima u trade?

Hahahah..... Me natrade pairs zenye volatility kubwa tu kama GBPNZD, GBPAUD, EURNZD, EURAUD, XAUEUR na GBPJPY..... katika hizo pairs ambazo mimi natrade wewe hapo kdg labda unaweza ukatrade na GBPJPY.... hizo zilizobaki hata kama una setup nzuri vipi unaweza ukaishia kula kwa macho. am not talking of trading kila pair ila kwanini niwe limited? eti kwa sababu ya mpesa? heheheh
 
Siyo kweli, hamna limitation, nina Trade pair karibia zote ambazo ni commonly known
 
Hamna wakala wa Templer ila tunafurahia huduma zake nzuri, kianzio cha $1 ni kwamba hata mtu mwenye mtaji mdogo bado anaweza ku Trade
 
Siyo kweli, hamna limitation, nina Trade pair karibia zote ambazo ni commonly known

Limitations kwa maana spread zenu ni kubwa na ni kubwa maradufu likiingia giza.... tofauti na sisi wengine..... Pia kwa pairs kama GOLD kwenu margin ni $12.89 while mm kwangu ni around $2 tu, leverage ya 500:1 hapo... Kama unaijua athari ya margin kubwa utakuwa unajua nini nazungumza
 
kuna watz kichwa cha mwenda wazimu kwelikweli. yaan pamoja na wenzenu kupigwa pesa mingi lakn bado mnavutwa na mnavutika na hao matapeli!!???
 
endeleen kuwavuta watajaa tu kwenye Kumi na nane zenu wakijaa kulen vichwa vyao.

kwa ubishi Wa kuwahadaa huu hamuwakosi hata wasukuma watatu lazma mtawajaza tu
 
Ndio maana nikakuuliza kwani wewe una Trade pair zote kwenye MT4 yako? Just a simple question
 
Ndio maana nikakuuliza kwani wewe una Trade pair zote kwenye MT4 yako? Just a simple question

Am not trading all pairs lakini baadhi ya pairs ninazo trade siwezi trade huko kwenu.... Either hazipo au trading cost yake ni kubwa.... Trading cost kubwa nazungumzia margin requirement pamoja na spread
 
Am not trading all pairs lakini baadhi ya pairs ninazo trade siwezi trade huko kwenu.... Either hazipo au trading cost yake ni kubwa.... Trading cost kubwa nazungumzia margin requirement pamoja na spread
Na ndio maana kila mtu ana chaguo lake linalompendeza, kitu unachoona hakikufai siyo kwamba lazima nami kisinifae, kwa taarifa yako nimewahi kuwatumia broker hawa, Tickmill, Pepperstone, Jp Market, HotForex, Xm, mwisho wa siku kutokana na usumbufu niliokumbana nao huko ikiwemo masuala mengi ikiwemo deposit na withdrawal nimeamua ku stick na Templerfx,

Kwa hiyo ni maamuzi binafsi tu ya mtu kuchagua broker, sijawahi kuhofia suala la Spreads as long as My Analysis are correct faida nitaipata tu
 

Mkuu kubali tu jamaa kakugalagaza kwa hoja na vielelezo.

Hata Mimi layman kwenye Forex naona kabisa broker wako ni scam
 
Wala sipo na hayo mawazo yako ya kusema kugalagazwa as long as I loose nothing Bali nimezungumza lile ninaloliamini na ndio uhalisia wake
Mkuu kubali tu jamaa kakugalagaza kwa hoja na vielelezo.

Hata Mimi layman kwenye Forex naona kabisa broker wako ni scam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…