Ontario adaiwa kusepa na Mamilioni ya Wana-Forex

Ni kweli au naota? Ngoja tusubiri ili tujue kutoka kwa ONTARIO kama kweli muungwana kama yeye anaweza kutia ndani kitita choooote hicho.
Ni sh ngapi kwani mkuu? Ml 50?
 
Mm nipo kwenye group ukweli ni kwamba client hatukuibiwa ila kuna mgogoro kati yao. Kwa hiyo katika account za TMT Sirjeff kachukua hela yake kasepa kwa sababu katika kampuni alikuwa na share. So kuchukua share zake si kosa na kutokana na ugomvi inawezekana share zake zilizuiwa
 
Ahahaha!! Usijali mkuu coincidence hizi au déjà vu zinatokea sana.

Shukrani kwa tag.


Lnafiki Spiritual, fala sana.
Likatolewa mkuku mkuku na chupi mkononi kwenye magroup yote ya TMT baada ya kuumbuliwa na wadau.
Hehehehehe.. Linafiki. Kwishaaa
 
Client hamkuibiwa? We unataka mkiibiwa hadi waje wawakabe kwa nguvu wachukue mkwanja wenu? Kuna direct and indirect robbery...mmefanyiwa indirect robbery maana hata hicho kilichochotwa na komando kipensi kimetoka kwenu au kwetu sisi misukule.

Ni sawa na wewe unaweza kusema chenge hajawahi kukuibia wewe..wakati in reality alishakunyoosha.
 
Clients wataibiwaje wakati hiyo account inatumika kupitisha tu pesa za clients sio kuzihold mkuu....Hizo zitakuwa ni pesa za kampuni yao TMT sio za clientss
 
Lnafiki Spiritual, fala sana.
Likatolewa mkuku mkuku na chupi mkononi kwenye magroup yote ya TMT baada ya kuumbuliwa na wadau.
Hehehehehe.. Linafiki. Kwishaaa
Ahahaha!! Huwa unanifurahisha sana we jamaa yaani akili zako huwa fupi kama maisha ya funza..you can't comprehend my intellect and sophistication hata theluthi.

Wadau mnaoufahamu huu msukule Hebu njooni muunyooshe kwa kufukua yale makaburi yanahohusu. Unataka kufurukuta hapa? Ahahaha!
 
Kama nimedeposit $89.02 na sasa nina $197 hivi nimeibiwa wapi?
Unapaswa kujua kwamba TMT ilikuwa inapata commission katka kila position ya TMT member, commision za kuingizia wateja JP markets, links wanayompa member mpya na zile seminar. So hizo pesa ndo zinaleta shida.

Just assume seminar kwa watanzania 1000 X 130,000 seminar fee = 130,000,000/=. Hapo hujaweka members wa Kenya na commission wanazopiga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…