Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuhusu speed kazi ipo jamaa hana sprint nzuri alafu ni mzito wa mwili.Kuna muda nilishangaa sana alipokuwa anakimbilia mpira halafu akapitwa na mtu kutokea mbali sana.
Anyway, kinachomsaidia ni kucheza kwa akili maana isingekuwa hivyo mambo yangeharibika.
Ila sijui kwenye makundi ya cafcl itakuwaje.
Kwa hiyo uzi uishie hapo, kwa kuwa umeshajipa jibu kwamba Onyango alikuwa anatumia akili!Kuna muda nilishangaa sana alipokuwa anakimbilia mpira halafu akapitwa na mtu kutokea mbali sana.
Anyway, kinachomsaidia ni kucheza kwa akili maana isingekuwa hivyo mambo yangeharibika.
Ila sijui kwenye makundi ya cafcl itakuwaje.
Huyo Onyango kwani Bongo kaja leo? Kila siku maneno hayo hayo lakini hakuna anayemsumbua, zaidi ya makosa ya kawaida tena yuko vizuri kuliko huyo mwamnyeto mnayemuona kijana.Onyango ana wajukuu Sasa spidi anaitoa wapi?
Akili ndio muhimu sio kama kisinda speed kubwa akili hamnaKuna muda nilishangaa sana alipokuwa anakimbilia mpira halafu akapitwa na mtu kutokea mbali sana.
Anyway, kinachomsaidia ni kucheza kwa akili maana isingekuwa hivyo mambo yangeharibika.
Ila sijui kwenye makundi ya cafcl itakuwaje.
Huyo Onyango kwani Bongo kaja leo? Kila siku maneno hayo hayo lakini hakuna anayemsumbua, zaidi ya makosa ya kawaida tena yuko vizuri kuliko huyo mwamnyeto mnayemuona kijana.
Huyo Onyango kwani Bongo kaja leo? Kila siku maneno hayo hayo lakini hakuna anayemsumbua, zaidi ya makosa ya kawaida tena yuko vizuri kuliko huyo mwamnyeto mnayemuona kijana.
Wewe mwenyewe unakiri ana akili sana na ndio la msingi. Nadhani thread yako ilipaswa iwe juu ya huyo aliyefanikiwa kumpita Onyango halafu akili akawa amemuachia JK na Sunday Manara wamshikie.Kuna muda nilishangaa sana alipokuwa anakimbilia mpira halafu akapitwa na mtu kutokea mbali sana.
Anyway, kinachomsaidia ni kucheza kwa akili maana isingekuwa hivyo mambo yangeharibika.
Ila sijui kwenye makundi ya CAFcl itakuwaje.
Ndo nlitaka kumuuliza hivyo hivyo..kukimbia bila kutumia akili ni sawa tu na tuisila kisindaKwa hiyo uzi uishie hapo, kwa kuwa umeshajipa jibu kwamba Onyango alikuwa anatumia akili!
Kivyovyote vile beki za Simba ni beki sio zile za wanautopoloKuna muda nilishangaa sana alipokuwa anakimbilia mpira halafu akapitwa na mtu kutokea mbali sana.
Anyway, kinachomsaidia ni kucheza kwa akili maana isingekuwa hivyo mambo yangeharibika.
Ila sijui kwenye makundi ya CAFcl itakuwaje.
Beki sio mabaya kiivoKwa kufananisha na utopolo simba wako vizuri kwenye ukuta lakini kufananisha na makundi ya cafcl tunaweza kupata changamoto.