mama muuza mbege wakati nachukua oda zangu nimekutana na mada watu wanataka kutrade forex.niwaonye tu walevi wangu hiyo biashara haina regulatory body .hela ikiliwa ni imeliwa hutoweza kushtaki popote.ukitaka kujua jinsi ilivo feki fungua demo account hautokaa upoteze utakuwa unapata tu hata kama unakosea maksudi.lengo ni ili wakuvutie uweke mihela sasa hapo ndo utajua kama mbege ni zaidi ya henken.
bitcoin,forex trading ni kitu kimoja. broker wenu ambae ni mleta mada yulee atapata mihela huyo ngoja nihudumie wateja wengine naona wameingia kilabuni hapa
nachukua oda za mbege bado .
Ingekuwa ni fake ungeambiwa usome kwanza ukishaelewa fungua demo ukijiona umeiva fungua real account... Ufake uko wapi apo? Mbona banks zinatrade?mama muuza mbege wakati nachukua oda zangu nimekutana na mada watu wanataka kutrade forex.niwaonye tu walevi wangu hiyo biashara haina regulatory body .hela ikiliwa ni imeliwa hutoweza kushtaki popote.ukitaka kujua jinsi ilivo feki fungua demo account hautokaa upoteze utakuwa unapata tu hata kama unakosea maksudi.lengo ni ili wakuvutie uweke mihela sasa hapo ndo utajua kama mbege ni zaidi ya henken.
bitcoin,forex trading ni kitu kimoja. broker wenu ambae ni mleta mada yulee atapata mihela huyo ngoja nihudumie wateja wengine naona wameingia kilabuni hapa
nachukua oda za mbege bado .
mi nasubiria matokeo ndo nitradeForex is real
People are making a lot of money and people are loosing too a lot of money.
Ila honestly nachukia kuchangia uzi huu basi tu sina namna ila.........vitakuja vilio vingi sana huku kwani watu wameaminishwa wameokota dodo wakati siku zote curse za kutengeneza pesa kila mtu anatembea nazo na ataweza kuzitumia pale tu atakapokuwa tayari.
Narudia tena kwamba kila pro trader anashuhudia kwamba sio rahisi kihivyo na kupata hela nyingi ni kwamba uwe na capital kubwa no
DISCIPLINE
Sent using Jamii Forums mobile app
Utaachwa wee ingia sasa ila jiwekee kwamba utatusua mida midami nasubiria matokeo ndo nitrade