Nyuzi bado zipo mkuu sijui utakunya boga
Sio hiyo pekee huyu jamaa post zake huwa ni za kuwavutia sana watu anajua kucheza na akili za watu humu na anakuambia amefanikiwa but hataji kampuni yakeNitumie fursa hii kuwapongeza JF kwa kuondoa nyuzi za biashara ya utapeli ya Forex iliyowekwa na bw ONTARIO
Kiukweli mimi ni miongoni mwa watu niliostukia utapeli huu lakini nilishangaa baadhi ya watu kulaghaika na maneno matamu.
Weng waliokuwa wanachochea na kuaminisha watu kiukweli wapo nyuma ya utapeli.
Nawasihi vijana, tufanye kazi tuache shortcuts
Aidha, Jf syo uchochoro wa utapeli.
Forex ni kama kamari zingne tofauti yake ni kwamba, kamari nyingi Tanzania zimesajiliwa lakini hii haikusajiliwa.
Ebu jiulize, jamaa alisema watu 300 wa mwanzo wangepewa training ya bure lakini baadaye akasema mchangie 65,000
65,000*300=19,500,000
Mwshowe angesema yeye ni fighter kumbe kawatapeli wajinga wanaopenda shortcuts.
Nawashauri vijana wenzangu, kuweni makini na matapeli, fanyeni kazi.
Usitumie nguvu kumuaminisha..Time will talk!! JF wamefuta kwa sababu za kiofisi, mimi pia sizifahamh. Kama unahisi Ontario ni tapeli, basi nipe week 2 kuanzia Jumatatu ya kesho.
Sio hiyo pekee huyu jamaa post zake huwa ni za kuwavutia sana watu anajua kucheza na akili za watu humu na anakuambia amefanikiwa but hataji kampuni yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushauri wangu kwako bwana Ontario.....wale watu wanaolipa ile registration form uwapatie tu stakabadhi ili kuondoa maneno maneno yasiyo ya lazima.Time will talk!! JF wamefuta kwa sababu za kiofisi, mimi pia sizifahamh. Kama unahisi Ontario ni tapeli, basi nipe week 2 kuanzia Jumatatu ya kesho.