Mkuu,
Nadhani ukweli ni kwamba Ontario ana uwezo mzuri wa kuandika (as in detailed and well articulated articles). Maybe katika motive ya kushawishi watu but I think he is really good at that.
Kuhusu Kampuni Nadhani haujamfatilia vizuri sana... huwa anasema ni kampuni ya masuala ya kilimo (Poultry) - Jefren Agrifriend Co. Ltd
- I stand to be corrected- [emoji1488]
Mkaruka HAKUNA ALIYESEMA JAMAA HAJAFANIKIWA.
ILA JAMAA HAJAFANIKIWA KUPITIA FOREX. ANADEAL NA MIRADI TOFAUTI KABISA.
SASA ALIYEKUAMBIA MTU ALIYEFANIKIWA HAWEZ KUTAPELI NANI?
NJIA ZA KUACUMULATE PESA ZIKO NYINGI MKUU.
HATA UJAMBAZI WATU WANAUTUMIA KUJIIMARISHA KWENYE MIRADI YAO (MONEY LAUNDERING)
Kwa hyo skatai jamaa kafanikiwa ila syo kwa forex
Fanyeni Investment ambazo ni za uhalisia, hii kamari anawaibia tu.
Time will talk!! JF wamefuta kwa sababu za kiofisi, mimi pia sizifahamh. Kama unahisi Ontario ni tapeli, basi nipe week 2 kuanzia Jumatatu ya kesho.
Wangejua ndo kwaaanza wanakutia morali mkuuTime will talk!! JF wamefuta kwa sababu za kiofisi, mimi pia sizifahamh. Kama unahisi Ontario ni tapeli, basi nipe week 2 kuanzia Jumatatu ya kesho.
Mkuu tuko pamojaTime will talk!! JF wamefuta kwa sababu za kiofisi, mimi pia sizifahamh. Kama unahisi Ontario ni tapeli, basi nipe week 2 kuanzia Jumatatu ya kesho.
WAKUU HUU NI UTAPELI, JAMAA ANAFICHA KUANZIA SURA HADI JINA LA KAMPUNI.
SASA KAMA KUNA HUYU kinga666 ANASEMA NI KAMPUNI YA KILIMO SASA KILIMO NA FOREX WAPI NA WAPI?
YEYE ATAKUSANYA HZO 65 ZENU ATAENDA KUTUMBUKIZA KWENYE MIRADI YAKE HALISI HALAFU NYIE MTAACHWA NA KAMARI ZA FOREX NA KILIO KIKUU
MTAKUJA KUSHUHUDIA HILI
HUYU ONTARIO HAJAWAH KUFANYA HYO FOREX YEYE ANADEAL NA KILIMO
Nafikiri wote tungekuwa maskini... [emoji17] [emoji17]Najaribu kuwaza hivi anguko la jirani yako ndio lingekuwa unafuu wako kimaisha hali ingekuwa vipi?
nitakuwa wa pili kutoka mwisho. jamaa kafunguka hadi watu wamemjua majina yake halisi, account zake za social media, biashara zake hadi anapokaa. hakuna tapeli anayeweza kujireview kiasi hicho shida ya wabongo tuna wivu sana.nitakuwa wamwisho kuamini kama jaama ni tapeli
nkwarisambu NAONA UNAPGA PROMO MKAWAPIGE WAJINGA.
nitakuwa wa pili kutoka mwisho. jamaa kafunguka hadi watu wamemjua majina yake halisi, account zake za social media, biashara zake hadi anapokaa. hakuna tapeli anayeweza kujireview kiasi hicho shida ya wabongo tuna wivu sana.
Thibitisha kwamba FOREX ni utapeli.
Sasa kama tatizo ni Forex, why mpaka ule uzi wa "Niulize chochote kuhusu ujasiriamali umefichwa....?Mkaruka HAKUNA ALIYESEMA JAMAA HAJAFANIKIWA.
ILA JAMAA HAJAFANIKIWA KUPITIA FOREX. ANADEAL NA MIRADI TOFAUTI KABISA.
SASA ALIYEKUAMBIA MTU ALIYEFANIKIWA HAWEZ KUTAPELI NANI?
NJIA ZA KUACUMULATE PESA ZIKO NYINGI MKUU.
HATA UJAMBAZI WATU WANAUTUMIA KUJIIMARISHA KWENYE MIRADI YAO (MONEY LAUNDERING)
Kwa hyo skatai jamaa kafanikiwa ila syo kwa forex
Fanyeni Investment ambazo ni za uhalisia, hii kamari anawaibia tu.