3llyEmma
JF-Expert Member
- Oct 23, 2017
- 6,172
- 6,884
MAPINDUZI CUP
FT: SIMBA 0 - 1 AZAM
Huu mfumo wa mabeki watatu(3) anaotumia huyu kocha Masud Djuma wa Simba ndio utamrudisha kwao na kuiacha timu ya simba ktk nafasi mbaya mno.
Tena anapokutana na timu zinazojua mpira kama Azam, Yanga, Singida akitumia mfumo huo ataambulia kichapo...
Kitendo cha KICHUYA kucheza nyuma km full beki wa kushoto au ZIMBWA km winger ..KITAWAKOSTI SANA SIMBA.
Ni bora akaliona kwanza hilo kabla hajatereza kwenye Ligi kuu.. Mfumo huo unahitaji timu nzima kujituma na bila kupoteza mipira kizembekizembe.. Pia uwe na mabeki wenye mapafu ya Mbwa..
Tena mfumo huu unafaa zaidi ulaya, Angalia kama Man city au Bayern..Sio hapa Bongo mchezaji kila muda anayakoroga tena eneo la hatari..
Sisi nywele ngumu tunajijua. Awe makini kwa hilo.
Ni angalizo tu
FT: SIMBA 0 - 1 AZAM
Huu mfumo wa mabeki watatu(3) anaotumia huyu kocha Masud Djuma wa Simba ndio utamrudisha kwao na kuiacha timu ya simba ktk nafasi mbaya mno.
Tena anapokutana na timu zinazojua mpira kama Azam, Yanga, Singida akitumia mfumo huo ataambulia kichapo...
Kitendo cha KICHUYA kucheza nyuma km full beki wa kushoto au ZIMBWA km winger ..KITAWAKOSTI SANA SIMBA.
Ni bora akaliona kwanza hilo kabla hajatereza kwenye Ligi kuu.. Mfumo huo unahitaji timu nzima kujituma na bila kupoteza mipira kizembekizembe.. Pia uwe na mabeki wenye mapafu ya Mbwa..
Tena mfumo huu unafaa zaidi ulaya, Angalia kama Man city au Bayern..Sio hapa Bongo mchezaji kila muda anayakoroga tena eneo la hatari..
Sisi nywele ngumu tunajijua. Awe makini kwa hilo.
Ni angalizo tu