Onyo kwa wanachuo wa UDSM


Wewe tu na umasikini wako kamanda, wenzio wenye usawa ulokaa makini haina kwere. Sio kila mlevi ni malaya au mtumiaji asiyekuwa na akili.

Changanya zako na za mbayuwayu pia
 
Wewe tu na umasikini wako kamanda, wenzio wenye usawa ulokaa makini haina kwere. Sio kila mlevi ni malaya au mtumiaji asiyekuwa na akili.

Changanya zako na za mbayuwayu pia

afu anadhan kila mtu ni mchovu mwenzie..aige afe.
 
mimi nilkuwa nawaambia mapema ukiuwawa tusisumbuane mbeleni maana hali ilikuwa mbaya sana karibu na mwisho wa semi, unakuta mtu hana hela ya kula, dawa ya meno, mafuta, sabuni ya kuogea, nauli etc anaomba msaada mpk machozi yanamtoka .....mara wizi unaanza... na kwa watoto wa kike basi ndio kipindi cha kuharibikiwa unakuta mataxi driver, wakaanga chips, wenye maduka karibu na chuo wote wanajiponea kwa dada zetu
 
Ninachojua Fanya Starehe Uwezavyo ila Usimdhuru mtu.Suala la kuishiwa lipo,ila tusifuje hela ,fanya starehe kwa bajeti zako na una Uhuru ila Uhuru ukizidi ni Utumwa
 
Wanafunzi wa sasa waoga sana yani me ningekuwa mwanafunzi leo ningelipua makazi ya mkandara hapo,na kuna kipindi ticha flani hapo alikua ananizingua na nilipanga nilipue utawala sema tulienda nae sawa,hawa washenzi dawa yao ni kulipua yani mnashindwa kujioganaiz wanafunzi hata wa5 mkanunua guruneti na kulipua utawala? Kama mbwai mbwai tu hii nchi mbele haitotawalika biliv dat I'm tellin y'all buddiez
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…