ONYO kwa wanaonunua simu humu

maisha ya dar ndo ivyo wote mnaishi kwa kuviziana
 
Offer ! Offer !offer
ZANZIBAR GENERAL SUPPLY
wanakuletea punguzo la bei katika Msimu huu kama ifuatavyo!

Pata LG au SAMSUNG 43 Inches Led Smart Tv for only 450,000 tshs

[HASHTAG]#specifications[/HASHTAG]
.HDMI SUPPORT
.Built decoder
.wifi support
.usb ports etc

Tunapatikana Malindi mjini Zanzibar

[HASHTAG]#Wakazi[/HASHTAG] wa Zanzibar unaletewa popote ulipo bure/Tanzania bars tunatuma baada ya malipo kwa usalama na uaminifu mkubwa.

#NB one year warranty
[HASHTAG]#cont[/HASHTAG] 0712986773
 


Huyu tapelii huyu wadau msijikanyage
 
Halaf mpaka kupatana upo hivi mtu wa bara anaanzaje kutuma hela yote asubilie mzigo wajinga waliwao
 
Kwnza mkuu BLACK BERRY carve ni simu za zamani sana lazima ziwe mbovu.....ni simu za mwaka 2013 ndy mwisho kutoka unadhani utapata simu nzr..hata hiyo 1 k pia ulikuwa unapigwa.....ile simu camera ni 3.5 pixel...memory ya storage ni ndogo sana ....nakushauri kabla hujanunuwa kitu ingia gougle kwnza....ujiridhishe,,,na hata soko la mjini utaona kwa mtandao,,tatizo kunapotokea aina fulani ya biashara na wezi nao wanaingia humo,,,lakini biashara ya onlineni nzuri tu.....tatizo wapigaji nao wameingia humo,, mimi nimenunuwa TECHNO W5 safi kabisa 13 pixel haina tatizo lolote mkuu..ktk jambo lolote wapigaji hawakosi ni kuwa makini tu
 
Agiza simu abroad kupitia platform yetu mpya www.teknozoo.co.tz au tembelea ofisi zetu
 
Kama imekula kwako,basi.Kwani madukani ukinunua simu,si inaweza halibika hapo hapo?Na je,una uhakika gani wote wanaouza zinakuwa fake? Binafsi nilinunua simu mbili hivyo hivyo mtandaoni,zote zikiwa zimetumika. Moja iko safi mpaka wa leo,na nyingine shida battery. Je,za madukani hazipo zisizokaa na chaji? Af,siyo kila mtu ana huo uwezo wa kwenda dukani kununua mpya,maana ukiachilia mbali,vipo vitu vingi vinauzwa second hand,na mara nyingi unakuta mtu ana shida kaamua auze kwa bei ya hasara,mwingine kapata kifaa kingine hana hitaji na alichokuwa nacho,sababu zipo nyingi. Nafikili vyema ungetoa angalizo la simu feki na nzima kabla ya kununua. Siyo biashara ya leo hii
 
Ninauza Simu aina ya Iphone 5s
Ina ukubwa wa 16 GB
Ram 1 Gb
Ios 11.2
Ina fingerprint
Ipo katika hali nzuri
Napatikana Arusha
0712350159
 
Mwenye nyumba wangu anauza nyumba yake nyingine hapa Kibaha mjini opposite west gate schools. dakika 90 kwenda mbezi Luis, nauli elf moja.
bei milioni ishirini tu
simu:0713-039875 kwa picha zaidi
 

Attachments

  • tmp-cam--659216543.jpg
    11.7 KB · Views: 196
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…