ONYO kwa wanaonunua simu humu

Kuwasaidia wengine, mtaje. Sisi tutaangalia IDs zake zote na kuziunganisha.

Ikibidi, tupe # yake ya simu tutamwanika hadi majina halisi. Threads zake zote zitafutwa na ID itawekewa status ya TAPELI.

Thanks
Invisible sikiliza na upande wa pili ili kubalance story then ufanye maamuzi yatakayokua na tija kwetu sote hapa JF. Halafu njia aliyotumia jamaa ya kuanika namba yake hadharani ili hali Mshitakiwa hajasikilizwa mimi naona sio sahihi...alipaswa aku-PM hiyo namba kwanza. Hayo ndio maoni yangu.

Utapeli sio mzuri washikaji, kwani wengine hapa tunaweza kua na shida kweli na tukataka kuuza SAMANI zetu lakini tukashindwa kwakua tayari baadhi ya watu wameshachafua hali ya hewa. UTAPELI sio mzuri ndugu zangu, kama mnafanya muache!
 

ndo maana uzi ukawa sticky kwa sababu utapeli haufai na tapeli ukimstukia inakula kwako tu..
 

Tumekusikia mkuu, maelezo yako nasi tume ya record....Upande wa pili nae aitwe aje kutoa maelezo yake.
 

Mkuu itabidi sasa mambo yote yafanyike hapa Ukumbini....weka bei mkuu ili itutie tamaa kama tunaweza kuinunua au la?
 
Kweli kuna watu wanaharibu biashara za watu wa kweli kwa kuuza simu mbovu
 
Pole sana mkuu kwa utapeli ila nataka niwashauri wote kuwa kama una uwezo hata siku moja vitu vy aelectronics uwe unanunua vipya tu. Kwa mfano simu na laptop pia vinakuwa vya wizi kwa baadhi ya wauzaji. Sioni ni kwa nini siku moja unakamatwa mwizi kwa mali uliyouziwa na mwizi. Pia kama umekubaliana na ununuzi wa mitaani maana hakuna hata ofisi basi uhakikishe unapafahamu nyumbani kwa muuzaji na kiongozi wake wa serikali za mitaa na mjumbe. Be careful, online wezi na matapeli wako wengi sana siku hizi.
 

kijana ndo kwanza umeingia JF siku moja tu ushapiga majanga??

Join Date : 5th June 2012
Posts : 82
Rep Power : 369
Likes Received: 18

Likes Given 0

hebu cheki hii profile yako nahisi we nae mwizi
 

soma vizuri mkuu hiyo tarehe..
 
Unauzaje hiyo iPHONE 4S?
 

huyo mtu uliyemtaja hapo juu (Godfrey electronics) ni brother ninayemuheshim sana,
yupo makini na biashara zake na anajiamini,kikubwa anafanya hyo biashara kama kazi,kwani ana bidhaa nyingi na zinaonekana kila mahali(fb,mnada.com na kwingneko) na simu zake ni mpyaaaaaa...na kikubwa matangazo yake yanakamilika huna haja ya maswali kwa huyu jamaa
Naweza sema yeye pekee ndiye anastahili kupewa sifa kwa hili,
japo anafanya ONLINE BUSNESS na hana duka ila namkubali sana.
Ninaoongelea hapa ni wale wa simu moja moja na matangazo yasiyo na tija mtu anaweka tangazo halikamiliki,
huoni SPECIFICATION za bidhaa anakwambia google,picha haweki,
bei hawek anakwambia um-PM,
MI NAONA TANGAZO LISILOKAMILIKA MODS WALIFUTE LISIWEPO HEWANI!
wewe unayesema hutaki kuiona thread hii unanpa wakati mgumu kukuelewa ndugu,
"look your self"
 
Last edited by a moderator:

tabulalasa
 
Kweli kuna watu wanaharibu biashara za watu wa kweli kwa kuuza simu mbovu

ni dhahiri ndugu yangu,penye wengi pana mengi wapo waaminifu wapo pia wasio waaminifu hatuwezi kufanana daima tupo kama vidole,
dawa ni kuwaanika ili wajulikane jukwaa libaki safi!
TANZANIA BILA UFISADI NI NGUMU KIDOGO
ILA
JF BILA MATAPELI INAWEZEKANA KABISA
 

namba haijawekwa hadharani mkuu!
Thanks
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…