Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Kiukwel mimi ni shabiki wa Liverpool kindakindaki kwa muda wa miaka 28 Sasa toka nianze kujua hisia za mpira nikimaanisha furaha na uchungu wake
Hii timu kwa Sasa inakoelekea inarudi shimoni ilikotoka miaka 3O iliyopita
Kitendo Cha kumuacha SADIO MANE huku mkataba wa MOH'D SALAH bado haueleweki na wakati huo huo kimuongezea BABU MILNER mkataba wa mwaka mmoja inaonesha Kuna shida katika hi timu
Ndio LIVERPOOL JURGEN NORBERT KLOP lakini anahitaji watu wa Kazi ambao ndio hao wanaondoka
Inaiona Liverpool ikirud kunipa presha muda si mrefu Hawa mabos wa hii timu n siyo kabisa wanajar pesa usajir hakuna
Hata suti niliyotaka kushona kwa ajil ya CHAMPION LEAGUE 2023 nimeghair kushona Kwanza
Hii timu kwa Sasa inakoelekea inarudi shimoni ilikotoka miaka 3O iliyopita
Kitendo Cha kumuacha SADIO MANE huku mkataba wa MOH'D SALAH bado haueleweki na wakati huo huo kimuongezea BABU MILNER mkataba wa mwaka mmoja inaonesha Kuna shida katika hi timu
Ndio LIVERPOOL JURGEN NORBERT KLOP lakini anahitaji watu wa Kazi ambao ndio hao wanaondoka
Inaiona Liverpool ikirud kunipa presha muda si mrefu Hawa mabos wa hii timu n siyo kabisa wanajar pesa usajir hakuna
Hata suti niliyotaka kushona kwa ajil ya CHAMPION LEAGUE 2023 nimeghair kushona Kwanza