Ooops! "Nyumba ndogo yangu imepata mimba!" Ushauri

Ok...sasa nyie woote naona ndoto zenu zinazidi kuwa worse!!
Nawapotezea...goin off for now! Until further notice...😛layball:
 
Duh yaani wapwa kweli hii nature hatari hadi mnaamua kuicomputerize??

Na kwa hili hata Gates Mwenyewe haoni ndani lol.
Mi nakushauri uhaibaneti kwanza uone itakuwaje kama bado then fikiria kugugo kwenye historical background uone kama ilikuwa ni version genuine basi huna budi kuaccept changes kwa kuclick accept changes button Mpwa.
 

Pole ndugu, cha kufanya ni kuitunza hiyo nyumba ndogo yako. kwani mlikuwa mnapeana raha wote. Endeleaaaaaaaaaaaaaa naye, usimtumpe, huyo ni wako.
 
Kwanza ulisign in kama wewe??
isije kuwa aliingia user mwingine.kuna haja ya ku view details.if it is ok, OPEN DOCS THEN SAVE IN A NEW FOLDER.(ON DESKTOP)
 


Najaribu kufanya mathematiks........yaani 38weeks.....
Hommie where r u....
 

Hata wewe Baba Paroko???mweee.kweli dunia imefikia mwisho.sijui niende kanisa gani nikasali mie..
 
kaizer you made my day! nacheka hapa mpaka nasikia kwenda kulala sasa maana mtaniua.
 
Tangu nijiunge JF sijawahi kucheka kama kwenye hii thread..
 
Unless kama laptop/computer ni ya mshikaji na sio yako mkuu hauna budi kuingia gharama hiyo issue you cant ignore it Just accept it.
 
Kama nakumbuka vizuri na sijachanganya majina, Kaizer alileta habari humu jamvini kuwa wife amepata mtoto. Sasa sijuhi kuna uhusiano na hili? Anyway starehe gharama. Kama umeipenda sana hiyo laptop, mpaka pengine umeinunulia gari isipigwe vumbi, hamna cha ku abot ni kutumia hivo hivo na virus kwani si virus wote wana madhara wengine hawa destroy capacity ya kuendelea kuchapa kazi, na unakuta document muhimu zote siko safe.
 

Sasa wewe naweee.............aaaugh..........umeshasema "nyumba ndogo",kinga ulimwachia nani?????????????Hivi hujui nyumba ndogo huwa zina nyumba kubwa zao?ambazo na zenyewe(hizo nyumba kubwa) huwa zina nyumba ndogo??????????????????mnataka muimbiwe kwa lugha gani jamani wanaume nyinyi?????????mtaendelea kuteketeza familia zenu mpaka lini??????????

"things come suitable to their time",lea mtoto,ndio nyie mnajaza watoto yatima barabarani.............x@$%^*?"
 
Sikia bwana kaizer, mi nadhani huna aja ya kuumiza kichwa...cha msingi ni kufanya window recovery coz hiyo itaondoa any changes made recently na mambo yatarudi kama zamani...kama tatizo linaendelea toa windows weka linux.
 
Karibia tunapata mtoto humu, shemeji kumbe mambo yako mazito eee
 
Kaizer mkuu huu uzi kabla tu ya kupigwa burn nilipitia na nikitambo unafanya nini tena hapa au ndo bado virus imegoma kutoka?
 

nimepita tu maana simo katika kutoa ushauri....
 

Umejaribu Ctrl + A then Ctrl + C ukamalizia na Ctrl + V hiyo itakusaidia uonekane ka wewe...ukimaliza hapo wewe mpe Alt + F4 then enter...ngoma juu......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…