Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

Akhsante sana The bold Tunasubiri hiyo operation ya pili!


Ila kwenye hii mission kifo cha Jonathan (Yoni) Netanyahu kilinisikitisha sana! Na alifariki akiwa mdogo sana huyu jamaa!
 
****** sana we mbwa
Unaniita mmbwa wapi nilipo kukosea umesema kumalizia story bonyeza hapa nikabonyeza story ikawa haijaisha nikakwambia mkuu ungemalizia story umetuacha njiani kosa langu hapo nini Mpaka unaniita mbwa kuwa makini usitukane kila mtu ambaye humjui kama hutaki nisome story zako ungeniambia tuu sio kutukama
 
Hili neno mbwa ulilotumia lomenikera sana basi we utakuwa mkuu wa mashoga wote walioko tanzania laanakumu shetani mkubwa
 
Unaquote uzi mzima ili iweje? Kama ulikuwa huelewi si ungeuliza! Tena una bahati meseji ilikuja nusu mpumbavu mkubwa we
 
The bold nna swali; ulisema kuna mama alijifanya anaumwa mimba imetoka akaachiwa, ukasema hilo tukio litakuja kuwasaidia baadae
liliwasaidia kwa namna gani?
Ndg hii ni simulizi ya kimapokeo,yaani inakwenda mbele na kurudi nyuma.Nadhani ishu ya mama huyo utakuja kutana nayo huko mbeleni.Endelea kufuatilia tu.
 
WENGI SANA HUNU JUKWAANI HUWA WALISEMA HII STORY ILISHAWEKWA... TUJARIBU KUPITIA KIPINDE HIKI...

Kwa bahati mbaya kulikuwa na mateka kadhaa ambao wwalikuwa hawajui kihebreania sawia na hii iliwagharimu sana. Kwa mfano kulikuwa na kijana wa mika 19 aliyeitwa Jean-Jacques Maimoni, huyu alikuwa amehamia Israel siku si nyingi sana kutokea nchini ufaransa. Lilipotolewa tangazo hilo la kila mtu kulala chini hakuelewa na alibakia akiwa amesimama na alitandikwa risasi na makomando wa Israel pamoja na wale watekaji. Kijana huyu hakuwa peke yake, lakini pia kulikuwa na mateka mwingine aliyeitwa Ida Borochovitch, ambaye alihamia Israel kutoka nchini Urusi.

Unaanzaje kusema mtu kama huyu amecopy na kupaste hii story... Tujaribu kupunguza chuki zisizo na maana vinginevyo mtajikuta mmeingia kwenye ushirikina pasina kujua... Hongera mkuu The bold honestly mi ndio nimejua leo kwamba kuna mateka waliuwawa kutokana na kutojua lugha.
 
Sehemu ya tatu naipataje????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…