OPEC na Urusi zakubaliana kupunguza uzalishaji mafuta

OPEC na Urusi zakubaliana kupunguza uzalishaji mafuta

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Urusi pamoja na mataifa yanayozalisha mafuta kwa wingi duniani (OPEC) yamekubaliana kupunguza kiwango cha uzalishaji mafuta kwa takribani mapipa milioni 10 kwa siku ili kuidhibiti bei iliyoporomka kutokana na janga la kirusi cha corona na vita.

Punguzo hilo, ambalo liliafikiwa kwenye mkutano wa jana wa mataifa hayo ni sawa na asilimia 10 ya kiwango cha kawaida, ingawa katika uhalisia linaweza kufikia hadi asilimia 20.

Saudi Arabia inasema huenda punguzo hilo likakata uzalishaji wa mapipa milioni 12.5 kwa siku, kwa sababu ya kiwango kikubwa cha uzalishaji kutoka nchi hiyo, Kuwait na Umoja wa Falme za Kiarabu. Makubaliano hayo yalifikiwa baada ya siku nne za mazungumzo.

Mazungumzo ya awali juu ya uzalishaji wa mafuta duniani yalikuwa yamekwama kutokana na mzozo na Mexico, lakini ufumbuzi ulipatikana baada ya mataifa wanachama wa OPEC kuliruhusu taifa hilo la Amerika Kusini kupunguza mapipa 100,000 tu kwa mwezi.
 
Ipo siku hata wauza maandazi watakuja kuungana na watapanga Bei na mauzo Jambo ni kuungana tu
 
Hapa kwetu bei ya kupanda na kushuka kwa mafuta huwa tunasikia kwenye soko la dunia tuu, kwenye vituo vyetu vya mafuta: price ni one way only and its UP.

Urusi pamoja na mataifa yanayozalisha mafuta kwa wingi duniani (OPEC) yamekubaliana kupunguza kiwango cha uzalishaji mafuta kwa takribani mapipa milioni 10 kwa siku ili kuidhibiti bei iliyoporomka kutokana na janga la kirusi cha corona na vita. Punguzo hilo, ambalo liliafikiwa kwenye mkutano wa jana wa mataifa hayo ni sawa na asilimia 10 ya kiwango cha kawaida, ingawa katika uhalisia linaweza kufikia hadi asilimia 20. Saudi Arabia inasema huenda punguzo hilo likakata uzalishaji wa mapipa milioni 12.5 kwa siku, kwa sababu ya kiwango kikubwa cha uzalishaji kutoka nchi hiyo, Kuwait na Umoja wa Falme za Kiarabu. Makubaliano hayo yalifikiwa baada ya siku nne za mazungumzo. Mazungumzo ya awali juu ya uzalishaji wa mafuta duniani yalikuwa yamekwama kutokana na mzozo na Mexico, lakini ufumbuzi ulipatikana baada ya mataifa wanachama wa OPEC kuliruhusu taifa hilo la Amerika Kusini kupunguza mapipa 100,000 tu kwa mwezi.
 
Tatizo la nchi zetu hizi ni kuwa haziwezi ku-rise to the occasion. Hii ndio ilikuwa fursa ya kununua mafuta kwa bei ndogo na kuweka akiba ili hali ikija kubadilika tena tayari mnakuwa na Cushion.

Mafuta yamepungua bei kwenye soko la dunia hadi kufikia dola 25 kwa pipa kutoka dola 70, 80 kwa pipa miezi kadhaa nyuma ikiwa imeshuka zaidi ya mara tatu lkn cha ajabu, hapa nchini bei bado ni zaidi ya shilingi 2000/= kwa lita.......!!!!! Highly Incredible.

Akina Ewura ni vyombo vilivyoundwa ili watawala waweze kuvitumia kuwapa wapambe wao ajira lkn havina faida yoyote kwa nchi.
 
Tatizo la nchi zetu hizi ni kuwa haziwezi ku-rise to the occasion. Hii ndio ilikuwa fursa ya kununua mafuta kwa bei ndogo na kuweka akiba ili hali ikija kubadilika tena tayari mnakuwa na Cushion.

Mafuta yamepungua bei kwenye soko la dunia hadi kufikia dola 25 kwa pipa kutoka dola 70, 80 kwa pipa miezi kadhaa nyuma ikiwa imeshuka zaidi ya mara tatu lkn cha ajabu, hapa nchini bei bado ni zaidi ya shilingi 2000/= kwa lita.......!!!!! Highly Incredible.

Akina Ewura ni vyombo vilivyoundwa ili watawala waweze kuvitumia kuwapa wapambe wao ajira lkn havina faida yoyote kwa nchi.
Yaaani sijui hua tunakwama wapi,mfano wenzetu Marekani baada ya kuona mafuta yameshuka Trump akasema kwamba watanunua mafuta Kwa hiyo bei ndogo na kujaza reserves zao za Taifa (kama mapipa milion Mia Saba). Lakini sisi tunapiga siasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaaani sijui hua tunakwama wapi,mfano wenzetu Marekani baada ya kuona mafuta yameshuka Trump akasema kwamba watanunua mafuta Kwa hiyo bei ndogo na kujaza reserves zao za Taifa (kama mapipa milion Mia Saba). Lakini sisi tunapiga siasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
na baada ya Trump kujiwekea akiba ya kutosha akaanza kushinikiza wazalishaji wapunguze uzalishaji ili mafuta yapande bei ......[emoji2]
 
Tatizo la nchi zetu hizi ni kuwa haziwezi ku-rise to the occasion. Hii ndio ilikuwa fursa ya kununua mafuta kwa bei ndogo na kuweka akiba ili hali ikija kubadilika tena tayari mnakuwa na Cushion.

Mafuta yamepungua bei kwenye soko la dunia hadi kufikia dola 25 kwa pipa kutoka dola 70, 80 kwa pipa miezi kadhaa nyuma ikiwa imeshuka zaidi ya mara tatu lkn cha ajabu, hapa nchini bei bado ni zaidi ya shilingi 2000/= kwa lita.......!!!!! Highly Incredible.

Akina Ewura ni vyombo vilivyoundwa ili watawala waweze kuvitumia kuwapa wapambe wao ajira lkn havina faida yoyote kwa nchi.
Uko sahihi!! Bei ilivyokuwa ndogo ndio ilikuwa wakati wetu wakununua kwa wingi.

Tatizo serikali yetu haifanyi tena biashara hiyo kama zamani labda watu binafsi wangenunua.
Ila kumbuka makampuni mengi yanayofanya hiyo biashara ni ya nje au yanamilikiwa na raia wa kigeni hata wakifanya hayo faida inabaki kwao.
 
Yaaani sijui hua tunakwama wapi,mfano wenzetu Marekani baada ya kuona mafuta yameshuka Trump akasema kwamba watanunua mafuta Kwa hiyo bei ndogo na kujaza reserves zao za Taifa (kama mapipa milion Mia Saba). Lakini sisi tunapiga siasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni habari mbaya sana kwa nchi zetu za dunia ya tatu,hii scarcity itatugharimu maisha yataku magumu mfumuko wa bei tutegemee pia ,nauli kupanda ,kongole kwa nchi zenye reserve nyingi ya mafuta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaaani sijui hua tunakwama wapi,mfano wenzetu Marekani baada ya kuona mafuta yameshuka Trump akasema kwamba watanunua mafuta Kwa hiyo bei ndogo na kujaza reserves zao za Taifa (kama mapipa milion Mia Saba). Lakini sisi tunapiga siasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni shida sana, sisi tunapokuwa busy na kutafuta namna ya kuuangamiza upinzani eti hiyo ndio the main agenda kitu ambacho hakina mahusiano na mkakati wa kupambana na umasikini.
 
Uko sahihi!! Bei ilivyokuwa ndogo ndio ilikuwa wakati wetu wakununua kwa wingi.

Tatizo serikali yetu haifanyi tena biashara hiyo kama zamani labda watu binafsi wangenunua.
Ila kumbuka makampuni mengi yanayofanya hiyo biashara ni ya nje au yanamilikiwa na raia wa kigeni hata wakifanya hayo faida inabaki kwao.
Mbona korosho walijifanya kununua au hiyo haikuwa biashara. Tatizo serikali haina vision, they're myopic.
 
Yaaani sijui hua tunakwama wapi,mfano wenzetu Marekani baada ya kuona mafuta yameshuka Trump akasema kwamba watanunua mafuta Kwa hiyo bei ndogo na kujaza reserves zao za Taifa (kama mapipa milion Mia Saba). Lakini sisi tunapiga siasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi hapa wanaposema pipa wanamaanisha nini yaan pipa moja ni kama lina lita ngap?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi hapa wanaposema pipa wanamaanisha nini yaan pipa moja ni kama lina lita ngap?

Sent using Jamii Forums mobile app
~159 ltrs
20200413_210247.jpg
 
na baada ya Trump kujiwekea akiba ya kutosha akaanza kushinikiza wazalishaji wapunguze uzalishaji ili mafuta yapande bei ......[emoji2]
Na wakakubali kupunguza uzalishaji 😀 😀,Huwa tukiwaambia watu bei za mafuta zinapangwa pale Wall Street wanatakaa..
 
Na wakakubali kupunguza uzalishaji 😀 😀,Huwa tukiwaambia watu bei za mafuta zinapangwa pale Wall Street wanatakaa..
ndio mkuu tena mapipa milioni 10 kwa siku, baadae jana trump ka tweet tena siyo kwamba mapipa milioni 10 tena bali sasa ni milioni 20 kwa siku
View attachment 1418777
 
Back
Top Bottom