Open Relationship

Kwa staili hiyo hauna maana uhusiano dizaini hiyo.
 

sante BAK ni kweli
hata hiyo nimewahi kusikia wananogea
na wengi huishia kuvunja makubaliao yao
ya hapo awali ..

lakini pia nimeoshuhudia hii open relation imesaidia
ndoa za watu in a very fun way ..
 
Reactions: BAK
wala hata sikutaki tena jana umeniahidi maini ukanipa ngozi
Nadhani wewe ndo hukufikia makubaliano!Ilikua ukimaliza kuota uje uchukue ....nikasubiria weeee mpaka nikapokonywa na mbwa!
 
Nadhani wewe ndo hukufikia makubaliano!Ilikua ukimaliza kuota uje uchukue ....nikasubiria weeee mpaka nikapokonywa na mbwa!

sasa nipe muda tena basi ..
Nilikuwa namuota fulani wa hapa JF
si wajua tena lazima ujilazimishe
kufunga macho kwa ndoto tamu kama hiyoo..
mmmmmmhhhh
 
sasa nipe muda tena basi ..Nilikuwa namuota fulani wa hapa JFsi wajua tena lazima ujilazimishe kufunga macho kwa ndoto tamu kama hiyoo..mmmmmmhhhh
Weee ulimuota nani!??Nwy naona hauko kwenye daladala ushapanda taxi kwahiyo mwambie driver awe amekufikisha hapa baada ya dakika kama tano hivi....i‘ll be waiting!
 
Weee ulimuota nani!??Nwy naona hauko kwenye daladala ushapanda taxi kwahiyo mwambie driver awe amekufikisha hapa baada ya dakika kama tano hivi....i‘ll be waiting!

ntakwambia tukikutaana..
haya basi see you soon
...
hakikisha hauondoki home..
nakuja
 

soma kwenye redi, usidanganyike watu wanapenda kuhalalisha mapunguifu yao :hatari:
 
Unachakachua bila maswali,usiletee wivu kwenye uhusiano kama huu
 
Kuna familia moja hapa hapa bongo ni ya kipekee. Kuna mama alikuwa anaishi maeneo ambayo si mbali na kwetu na nimesoma na mtoto wake nursery na tulikuwa tunasali kanisa moja na ni dada yake baba (kabila moja) kwa hiyo ni shangazi wa mjini.

Huyu mama mimi nilikuwa najua ana watoto wawili ila baba yao nilikuwa simjuhi. Huwezi amini nilianza kumuona mzee mmoja kaenda hewani anakuja pale kwao wakati watoto wameshakuwa wakubwa (say wa kwanza alikuwa kama 16 years) nikawauliza huyu nani wakanambia baba.

Sasa huyu mzee kumbe ni professor chuo kimoja hapa Tz ambacho kiko mkoani. Na nikaja kusikia kuwa hana mke ni senior bachelor. Anaishi peke yake na house boy tu. Mwanamke alikuwa one of the top five boses wa magareza (sijuhi wanaitwa makamishna). Ni mama mkimya sana.

Alipostaafu nimesikia ameenda kumjoin huyo professor na wamefunga ndoa uzeeni.

Sasa sijuhi walikuwa wana makubaliano gani.
 
Watu wengi hawajui maana ya open relationship, kwenye Facebook ndio usiseme kwasababu watu anajiandikia tu hiyo status but kiukweli huku kwetu bongo ni ngumu sana, mara nyingi watu wanaanza kuwa possesive na wivu unakuwa kwa sana, hapo ndio matatizo yanapoanzia. wengine wanaiita friends with benefit au no string attached
 
DaaahhhbMi nilidhani friends with benefit inatumika kwa ambao hawako kwenyeRelation...
 
Hello Guys, How is your weekend? hope mpo poa kabisa. My Question is hivi ni nini maana ya open relationship and does it real work? kuna Rafiki yanguu alimuaproach msichana yule msichana akasema kama anamtaka basi wawe katika open relationship
Open relationship in a simple word mean SINGLE or without GF/BF.. Huyo msichana nadhani hiyo open relationship yake alimaanisha Normal relationship or friendship relation.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…