Kitu cha open relationship..wabongo tufikie huku kweli jmn!!!!!
Duuh mambo ya wazungu hayo. Open relationship huwa yanakubalika ikiwa one of the partner has other interest ie lesbian or sissy husband.
Kama nyie nyote kamili, inahaja gani.
Huko nje utakuwa unatafuta nini? huku tuendako sasa?
Taratibu mpenzi....
Huyu jamaa kajiunga leo na kuja na hii makitu??? Hebu mwambie kwanza atupe ID yake ya zamani.
jembe bonaventure
Yesterday 23:35
#1
Junior MemberArray
Join Date : 26th June 2012
Posts : 1
Rep Power : 0
Likes Received0
Likes Given0
kumbeee......!hahahahaha! Lol
ngoja nihame huu uzi.
hata kichaa ana wazo la kujifunza kutoka kwake, heshimu mawazo ya mwenzako.
kawaida tuu maana mapenzi yenyewe yamejaa usanii ata sasa....so mie naona poa tuu atleast hapo mtu anakuwa ana make an informed decision
Nashangaaa............sijui ndio zama za sayansi na teknolojia? Sijui haja nini hasa? sasa huyo uliyenae atakuwa na umuhimu na maana gani?
Hebu fikiria, wewe unampenz wako, wewe unamtu wa pemben na mpenzio anae wa pembeni. Hao wapemben wana wapenzi wao nao wanao wapembeni vivo hivyo nao wanao wapenz wao.
Unadhan mtakuwa mnatengeneza bomu gani hapo...
Chukua tahadhari mapema.
Kwani kila kitu mpaka tuige wazungu jaman dah..tutakufa kibudu...
Hebu fikiria, wewe unampenz wako, wewe unamtu wa pemben na mpenzio anae wa pembeni. Hao wapemben wana wapenzi wao nao wanao wapembeni vivo hivyo nao wanao wapenz wao.
Unadhan mtakuwa mnatengeneza bomu gani hapo...
Chukua tahadhari mapema.
Huoni kama huu mtandao mwisho wa siku utaleta maambukizi ya UKIMWI...Hivi ushawahi kuwa na mgonjwa wa hii kitu halafu ni mtu wako wa karibu..jamani acheni hii kitu haifai kabisaa..