TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Wajameni!!!
Nimehamia sehemu moja hapa wilaya ya kinondoni ni pazuri sana!!! Kinachonisikitisha ni namna ambavyo mbele ya nyumba yangu kuna open space lakini kuna jamaa (wala haishi hapa) amefungua karakana ya cerpentry na watu wa welding, pia ameweka mgahawa na vitu kadha wa kadha
Hakuna choo wala vyoo, muziki ni mpaka basi lakini kila ninapofuatilia serikalini, tena hasa baana ya mkuu wa wilaya kuahidi kuondoa biashara sehemu zisizo rasmi, naambiwa tena na wakuu wa pale kwamba waondoke waende wapi? subiri uchaguzi nk.
Ombi langu kwenu ni ushauri wa kitalaam hasa kwennye rights zangu, financial implication kama naruhusiwa kushitaki au kudai fidia, haki ya wale wanaofanya biashara na uingizaji wa siasa kwenye mambo yaliyo serious
Nimeileta huku kwani naona it had to be dealth professionally kuliko kisiasa
I need you help
Nimehamia sehemu moja hapa wilaya ya kinondoni ni pazuri sana!!! Kinachonisikitisha ni namna ambavyo mbele ya nyumba yangu kuna open space lakini kuna jamaa (wala haishi hapa) amefungua karakana ya cerpentry na watu wa welding, pia ameweka mgahawa na vitu kadha wa kadha
Hakuna choo wala vyoo, muziki ni mpaka basi lakini kila ninapofuatilia serikalini, tena hasa baana ya mkuu wa wilaya kuahidi kuondoa biashara sehemu zisizo rasmi, naambiwa tena na wakuu wa pale kwamba waondoke waende wapi? subiri uchaguzi nk.
Ombi langu kwenu ni ushauri wa kitalaam hasa kwennye rights zangu, financial implication kama naruhusiwa kushitaki au kudai fidia, haki ya wale wanaofanya biashara na uingizaji wa siasa kwenye mambo yaliyo serious
Nimeileta huku kwani naona it had to be dealth professionally kuliko kisiasa
I need you help