Open university interview

mwaipembe

Member
Joined
Aug 8, 2011
Posts
93
Reaction score
23
Wana jf naomba kujuzwa kama open university waliishaita watu kwenye interview.pia mwenye dondoo kuhusu nafasi za open university tulizoomba naomba atujuze.kazi njema wakuu
 
Hizo nafasi za kazi zilitangazwa lini, kama vipi muulizie huyo ndugu yako aliyekupa taarifa ya nafasi za kazi, sisi tunatafuta kazi nyie mnatangaziana nafasi za kazi kiundugu, sasa unaulizie interview, unataka tukujibu nini sasa? angryyyyyyyyyy!!!
 
Wana jf naomba kujuzwa kama open university waliishaita watu kwenye interview.pia mwenye dondoo kuhusu nafasi za open university tulizoomba naomba atujuze.kazi njema wakuu

Mwaipembe, usaili upo unaendelea hivi sasa........Kama hujaitwa......unaweza kuitwa anytime endapo GPA yako ya 1st degree ni nzuri yaani kwenye 4+, japo competition is so stiff!
 
Hizo nafasi za kazi zilitangazwa lini, kama vipi muulizie huyo ndugu yako aliyekupa taarifa ya nafasi za kazi, sisi tunatafuta kazi nyie mnatangaziana nafasi za kazi kiundugu, sasa unaulizie interview, unataka tukujibu nini sasa? angryyyyyyyyyy!!!

Duh! Hizo ajira mi mwenyewe sikuzisoma japo ni mlevi wa hili jukwaa, pole yetu.
 
M2 wangu mi mwenyewe sijapata feedback bado, so sijui kitu labda tusubirie.
 
kaka ngoswe usiwe na hasira huwezi jua kila kitu mana hizi nafasi zilkuwa wazi kabisa.jaribu kutumia busara zaidi kaka maana hatuwezi fika popote kwa mwenendo huo
 
Hizo nafasi za kazi zilitangazwa lini, kama vipi muulizie huyo ndugu yako aliyekupa taarifa ya nafasi za kazi, sisi tunatafuta kazi nyie mnatangaziana nafasi za kazi kiundugu, sasa unaulizie interview, unataka tukujibu nini sasa? angryyyyyyyyyy!!!

duh! Ngoswe una hasira? Punguza munkari,haya mwaipembe tuambie hizo nafasi zilitangazwa lin?
 
Dailynews ya 25 august 2011 pia kwenye website ya out
 
Wana jf naomba kujuzwa kama open university waliishaita watu kwenye interview.pia mwenye dondoo kuhusu nafasi za open university tulizoomba naomba atujuze.kazi njema wakuu

tembelea tovuti yao ila nasikia mbado.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…