Huyu ndugu ana swali la msingi sana ila watu wamemuelewa vibaya tu.
Mkuu ninachojua open university ni chuo kikuu kama vingine ila tofauti na vyuo vingine ni hizi hapa
(a) Kwanza lecturers mnatafuta nyie wanafunzi, mnajioganize wanafunzi wa hiyo program na kumtafuta huyo mwalimu,
pesa mnamlipa nyie,chuo hakihusiki.Huyo lecture anaweza akawa hata na degree moja
(b)Kuna maximum year ya kusoma kwa kila program, kwa mfano kama program ni ya miaka 3, unaweza soma hadi miaka 7
(c) Hakuna vipindi vya kuhudhuria darasani,unaweza ukajisome mwenyewe tu na wala hutauliza na chuo