namanyele
JF-Expert Member
- Oct 19, 2012
- 1,852
- 610
habari,mm ni mwanafunzi wa OUT nasoma BA economics kinondoni centre mwaka wa kwanza,kwa yeyote anayesoma uchumi mwaka wa kwanza kinondoni au anapendelea kujisomea hata pale makao makuu naomba sana ani PM na ikiwezekana aniachie namba ya cm kwenye inbox yangu,
Nawasilisha.
Nawasilisha.