ndugu ngasengu, ada ya pgde ni tsh 1.8 milion hadi unamaliza (mihula miwili). kozi inaanza mwisho wa mwezi wa tisa. muda wa kuomba uliisha may 30. mimi mwenyewe niliomba kuwa admitted na nishajibiwa na kukubali maombi yangu ya kujiunga na pgde mwaka huu wa masomo wa 2014/15.