jamani kuna mdogo wangu amechaguliwa hapo ipen university lkn watu wanaswlema ni chuo kibaya sana eti ni cha watu wazima nifanyaje ili nimbadilishie hiki chuo
jamani kuna mdogo wangu amechaguliwa hapo ipen university lkn watu wanaswlema ni chuo kibaya sana eti ni cha watu wazima nifanyaje ili nimbadilishie hiki chuo
Hivi siku hizi hta mtu akitaka kuomba CBE,TIA Sijui IFM lazima apitie TCU?
What about Masters na PhDsthats it kwa bachelor degree programs!
OUT is one of the best in Tanzania
Usipokuwa makini open mtu unaweza ukasota had miaka mi 5 b.a badala ya 3 ya kawaida ..
Lazma uwe serious sana pale ..
jamani kuna mdogo wangu amechaguliwa hapo ipen university lkn watu wanaswlema ni chuo kibaya sana eti ni cha watu wazima nifanyaje ili nimbadilishie hiki chuo