DEGREE YA PILI KWA MAANA YA MASTERS NI TZS 3,600,000 ADA YAKE. UNASOMA MIAKA MIWILI LAKINI UMEPEWA MIAKA MITANO KUHAKIKISHA UMEMALIZA HIYO MASTERS YAKO. KWA MAELEZO ZAID INGIA www.out.ac.tz utapata habari nyingi zaidi. maombi ni wakati wowotetafadhari jaman naomba mnijuze utaratibu wa kusoma open university degree ya pili na Ada yake ni kiasi gani na unasoma kwa muda gani.
DEGREE YA PILI KWA MAANA YA MASTERS NI TZS 3,600,000 ADA YAKE. UNASOMA MIAKA MIWILI LAKINI UMEPEWA MIAKA MITANO KUHAKIKISHA UMEMALIZA HIYO MASTERS YAKO. KWA MAELEZO ZAID INGIA www.out.ac.tz utapata habari nyingi zaidi. maombi ni wakati wowote