umevamia treni kwa mbele ww.mi nimeandika hivyo kutokana na title ya mtoa mada au na hii thread ulianzisha post yandu wala haikuhusu ww kwani ww unaingia mwaka wa kwanza?SI UMESEMA UNAINGIA MWAKA WA PILI AEA? acha hizo ww soma vzuri kabla ya kuposti
wewe NAAMINI mimi ndo nakupa taarifa sahihi ambayo hata baadae ndo utakayo kuja kuipata..vichwa 4 vimeliwa kwa mwaka wa pili wanaingia mwaka wa 3 na sio mwakatwa kwanza wanaoingia mwaka wa pili..hivyo aliekupa taarifa kakosea labda alidhan mwaka wa kwanza..hope umenielewa..