mbona sijaielewa hii bahar? Kichwa habar tofaut, ukiifungua ni nyingine. Au wana jf mnaipataje nyie?
Halmashauri ya Manispaa ya Temeke leo inaendesha zoezi la kionevu kwa wenye magari yanayopaki hata kwenye maeneo ya maduka Temeke, Tandika, Mbagala nk. Faini 50000/= na 50000/= kutoa gari yard. Uonevu mtupu. Parking hawana. Dhuluma tu.
Yaani hata mm nimeshangazwa na jinsi title ilivyo tofauti na maelezo(habari)