Operator - Mashine ya kusaga

Operator - Mashine ya kusaga

ThinkingAloud

New Member
Joined
Nov 15, 2021
Posts
3
Reaction score
1
Natafuta operator wa mashine ya kukoboa mahindi na kusaga unga. Ina uwezo wa kusaga tani kumi kwa siku. Awe na uwezo wa kufanya mauzo kwa kupeleka kwa wateja.

Niko Dar es Salaam, Mbagala.
 
Natafuta operator wa mashine ya kukoboa mahindi na kusaga unga. Ina uwezo wa kusaga tani kumi kwa siku. Awe na uwezo wa kufanya mauzo kwa kupeleka kwa wateja.

Niko Dar es Salaam, Mbagala.
Asage na bado aende akauze kwa wateja😇😇😇
 
Natafuta operator wa mashine ya kukoboa mahindi na kusaga unga. Ina uwezo wa kusaga tani kumi kwa siku. Awe na uwezo wa kufanya mauzo kwa kupeleka kwa wateja.

Niko Dar es Salaam, Mbagala.

Ww una uwezo wA kununua tani ngapi mkuu
 
mkuu kama bado hujapata tafadhali nipo hapa na nina uzoefu na nimchapa kazi
+255 694 185 384 napatikana mbagala
 
Back
Top Bottom