ThinkingAloud
New Member
- Nov 15, 2021
- 3
- 1
Natafuta operator wa mashine ya kukoboa mahindi na kusaga unga. Ina uwezo wa kusaga tani kumi kwa siku. Awe na uwezo wa kufanya mauzo kwa kupeleka kwa wateja.
Niko Dar es Salaam, Mbagala.
Niko Dar es Salaam, Mbagala.