Operator wa excavator hana kazi nisaidieni.

Operator wa excavator hana kazi nisaidieni.

Baraka sheni

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2015
Posts
471
Reaction score
197
Habarini wapendwa? Mimi ni operator wa excavator pia ni fundi nimefanya kazi kama msaidizi wa operator kwa miaka 3. Nipo tayari kufanyiwa majaribio hadi ndio niajiliwe au nikabiziwe kazi .
Labda unaweza kujiuliza kwanini nimefanya kazi kama msaidizi wa operator kwa mda wote huo?
jibu nikwamba sina leseni wala cheti cha veta ila naamini kupitia uwezo wangu.
ndoto zangu bado nikwenda kusomea ili kuweza kupata cheti na leseni ila kutokana na garama zake kuwa juu nimeshindwa kuzikabili.
Nipo tayar kufanya kazi mkoa wowote na mahali popote.
imani yangu humu kuna watu tofauti hasa site ingineer pia kuna wakandarasi tafadhalini naombani msaada wenu.
napatika kwa namba 0688501810
 
Habarini wapendwa? Mimi ni operator wa excavator pia ni fundi nimefanya kazi kama msaidizi wa operator kwa miaka 3. Nipo tayari kufanyiwa majaribio hadi ndio niajiliwe au nikabiziwe kazi .
Labda unaweza kujiuliza kwanini nimefanya kazi kama msaidizi wa operator ?
jibu nikwamba sina leseni wala cheti cha veta ila naamini kupitia uwezo wangu.
ndoto zangu bado nikwenda kusomea ili kuweza kupata cheti na leseni ila kutokana na garama zake kuwa juu nimeshindwa kuzikabili.
Nipo tayar kufanya kazi mkoa wowote na mahali popote.
napatika kwa namba 0688501810
Pole sana mkuu Mungu atafanya njia.
 
Back
Top Bottom