johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema akimaliza mkoa wa Mara kituo kinachofuata ni Kanda ya Nyasa na wataanzia Mbeya kwa Wakili Msomi Mwabukusi kisha wataendelea Songwe kwa mh Mdude, Rukwa, Katavi na kumalizia pale alipotandikwa Mjerumani yaani Iringa kwa Chifu Mkwawa
Sisi Wanyalu tunawakaribisha sana
Ahsanteni 😀😀🔥🌟🐼
Sisi Wanyalu tunawakaribisha sana
Ahsanteni 😀😀🔥🌟🐼