Operesheni Haki: Freeman Mbowe atinga Jimbo la Mtama

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Baada ya kushuhudia mapokezi ya Mwamba Freeman Mbowe kwenye kampeni ya Operesheni Haki jimbo la Mtama, nimeona nichukue muda kiasi kumpongeza Nape Nnauye kwa kuhakikisha anapitishwa bila kupingwa kwenye uchaguzi wa 2020, alitumia akili sana ! Hali yake ni mbaya mno.

Hebu jionee mwenyewe.



Your browser is not able to display this video.
 
OPERATION HAKI NA WAKATI HAMJATUPA MREJESHO WA MAPATO NA MATUMIZI WA SADAKA TULIZOTOZWA KWENYE ZILE NDOO NYEUPE KIPINDI CHA KAMPENI 2020.
 
Leo itakuwa balaa huko mtama.
 
Hapa ndipo Nape alipita bila kupingwa kwa mizinga ya magufuli?
 
Sasa mmeruhusiwa kufanya siasa , kwa hilo toeni pongezi
 
Mbowe hua ananifikirisha sana ,nyerere ndomtu nambamoja kuruhusu anunue gari na atumie mana ilikua inakataliwa sana
 
Kwa kweli hali ni tete kwa Nape.. chini ya tume huru wanaompenda wamshauri akatafute jimbo jingine tu kwa kweli!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…