Operesheni kimbunga bado maofisini

KITA

Member
Joined
Jan 3, 2015
Posts
20
Reaction score
5
Ni kawaida kuona usalama wa nchi ukichukuliwa kisiasa zaidi, badala ya kuwa makini, na endelevu.

Tulijionea raia wa Malawi na Rwanda waki "rasimishwa" baada ya sintofahamu na Joyce Banda na Paul Kagame. Ila naona hili halijafanyika ipasavyo. Ninachofahamu ni kuwa kuna wingu kubwa la raia wa Rwanda wakitumia uraia wa Uganda hasa baada ya misimamo ya Kagame katika medani za kimataifa kuwa na changamoto.

Hili halijazingatiwa maofisini, hasa kwa wageni wote wenye asili ya Africa.

Wana JF, kuna mfano mkubwa kuwa kuna mwanamama anayefanya kazi kama mkurugenzi wa ugavi na usambazaji (Supply Chain) katika kiwanda cha Saruji Mbeya, akijiita kuwa anatokea Ruwenzori Uganda, ilhali kuna wingu kubwa la uhalali wake katika hiyo nchi.

Kuna mfanyakazi aliwahi kufika kwa mapumziko nchini humo, alishtushwa kusalimiwa na anayeaminika kuwa ni Kaka au Mume wa Mama huyo. Alipozifikisha taarifa hizi rasilimali watu, aidha wakazitupilia mbali, au wakazichukulia kama ni uzushi.

Mbaya zaidi ukienda nchini Rwanda, unakutana na wanafamilia ndugu zake, na kwa kuwa nchi yenyewe ni ndogo ka Dar es Salam yetu ukitimba tu.

Je nchi hii ina usalama?
 
KITA

Wewe unashida gani ? kama unataka nafasi yake we usemetu direct uache uzushi... wewe unafikiri usalama wa nchi unaujua kuzidi wanausalama? usiwe na shaka usalama wa nchi unalindwa ipasavyo na vyombo husika.
 
Last edited by a moderator:
Wote wataondolewa mkuu usiwe na shaka na wanafahamika kuanzia Rusumo hadi Gisenyi wanajiita watanzania huku sio na wengine huhimizwa kuja kuzalia Maeneo ya karagwe hii ni wanawake wanaokua ni wajawazito ili iwarahisishie kupata urai na wale waliozaliwa Rwanda wanakuja kusomea Tanzania kuanzia darasa la kwanza nao wataondolewa
 
Na siku hizi wanatumia documents za Uganda kuingia Tanzania baada ya kuona wanabaniwa mambo mengi sana Tanzania , wakabanane kwenye vinchi vyao hivo vidogodogo watuache na Taifa letu
 
Njia wanazotumia kwa infiltration ni za kipumbavu sana hao sio wakuwachekea hawana utu kabisa tuilinde nchi yetu kwa nguvu
 
Ndio tatizo kubwa la wa TZ, baada ya kuungana kupambaa na matatizo mnaanza kupashana oh unaitaka nafasi yake!
 
Hii nchi ya wajinga sana, yaleyale ya Welder mzungu kuajiriwa kama Chief Engineer. Hivi hizi kamati za Bunge kwa nini hazipitii UHAMIAJI kuna uozo wa kufa mtu. Nitarudii....
 
wewe unashida gani??? kama unataka nafasi yake we usemetu direct uache uzushi...wewe unafikiri usalama wa nchi unaujua kuzidi wanausalama??usiwe na shaka usalama wa nchi unalindwa ipasavyo na vyombo husika.

Hilarious! Really ?
 
Da umenikuna, kuna wahindi wameajiriwa kama accountant kumbe India alikua mchoma mahindi barabarani. Na CV yake inaonyesha hivyo.

Wahamiaji haramu au wale wa kimaslahi, ni jambo lisilokwepeka na linatokea karibu duniani kote, tatizo ni pale wahamiaji wanapojaribu kuteka nafasi zinazostahili kujazwa na wananchi kwa kutumia mbinu zisizo halali,kufanya ubaguzi wa wazi, au kutumika na nchi zao katika kuhujumu nchi, hapo ndipo linapokuwa tatizo.
Uzuri ni kwamba, Tanzania ina mfumo tofauti sana wa kiusalama, wengi huwa hawaamini mpaka pale wanapokutana na mifano hai isiyoonyeshwa kwenye tv au kuandikwa magazetini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…