namba force
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 758
- 434
Rejeeni mada tajwa hapo juu.Wiki iliyokwisha nilimsikia afisa usalama mmoja wa barabarani akidai kuwa sasa wanakuja na operation tajwa hapo juu.
Swali langu kwa wadau je, operation hiyo itahusika na vitu gani? Pili, itawahusu watu gani waendesha bodaboda au hata wasio bodaboda?
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali langu kwa wadau je, operation hiyo itahusika na vitu gani? Pili, itawahusu watu gani waendesha bodaboda au hata wasio bodaboda?
Sent using Jamii Forums mobile app