Ndugu zangu wapinzani nawaomba tuweke itikadi zetu mfukoni na tuendeshe Operesheni Ondoa CCM 2025.
Katika operesheni hii siyo mbumbumbu kuzunguka wakiwatangazia watu ondoa ccm 2025 bali ni kwetu sisi kutazama ili tuwaondoe hawa tunahitaji kufanya nini?
mkakati uko hivi
1. Tutazame makundi ya kijamii yaliyoachwa na tuandae sera bora za kuwakomboa ifikapo kampeni za 2025.
2. Ni mwiko kuikamata serikali na dola ndevu kwa sasa, tunahitaji kufanya siasa za kistaarabu tukiwapa watu wengi zaidi popularity. tusiganganie kutumia watu wetu wachache kuitunishia serikali iliyopo madarakani misuli
3. Tuachane na uanaharakati na tuchukue sera zinazogusa watu wengi.
4. 2025 tunahitaji watu strong ambao wakati upande wa pili watakapokuwa wakigombania nyama kwenye mchuzi sisi tutakuwa tukiwaahidi waliokosa ajira kupata ajira, waliokosa fursa za biashara maisha bora, waliokosa kuuza mazao ya kilimo tutakuwa tunawaahidi soko.
Nikichungulia kwenye kambi ya upande wa pili naona kabisa mgawanyiko wa kambi ni nje nje na ni fursa nzuri sana iwapo tutajipanga vizuri.
Tofauti zetu zisiwatishe na kila chama kijitolee kwa mwaka huo kufunika mambo mengi ilimradi siasa zibalansi.
Hakuna Mtanzania anayeweza kushangilia kila mwaka watu walewale wanaingia madarakani kama hakuna direct link ya ubora au unafuu anaoupata yeye katika maisha.
Katika operesheni hii siyo mbumbumbu kuzunguka wakiwatangazia watu ondoa ccm 2025 bali ni kwetu sisi kutazama ili tuwaondoe hawa tunahitaji kufanya nini?
mkakati uko hivi
1. Tutazame makundi ya kijamii yaliyoachwa na tuandae sera bora za kuwakomboa ifikapo kampeni za 2025.
2. Ni mwiko kuikamata serikali na dola ndevu kwa sasa, tunahitaji kufanya siasa za kistaarabu tukiwapa watu wengi zaidi popularity. tusiganganie kutumia watu wetu wachache kuitunishia serikali iliyopo madarakani misuli
3. Tuachane na uanaharakati na tuchukue sera zinazogusa watu wengi.
4. 2025 tunahitaji watu strong ambao wakati upande wa pili watakapokuwa wakigombania nyama kwenye mchuzi sisi tutakuwa tukiwaahidi waliokosa ajira kupata ajira, waliokosa fursa za biashara maisha bora, waliokosa kuuza mazao ya kilimo tutakuwa tunawaahidi soko.
Nikichungulia kwenye kambi ya upande wa pili naona kabisa mgawanyiko wa kambi ni nje nje na ni fursa nzuri sana iwapo tutajipanga vizuri.
Tofauti zetu zisiwatishe na kila chama kijitolee kwa mwaka huo kufunika mambo mengi ilimradi siasa zibalansi.
Hakuna Mtanzania anayeweza kushangilia kila mwaka watu walewale wanaingia madarakani kama hakuna direct link ya ubora au unafuu anaoupata yeye katika maisha.