Naileta tena hoja ya kukiondoa madarakani chama kinachojisimika madarakani bila ridhaa ya wananchi wa Tanzania.
CCM imevurubuni vyombo vya usalama na kupora haki ya msingi ya watanzania wote ya kuchagua na kuchaguliwa.
CCM imesimamia uporaji wa haki ya wananchi kujipatia viongozi wanaowataka. Badala yake imesimika kwa lazima na kidikteta viongozi wa vitongoji, vijiji na mitaa kwa kuengua wengine wote.
CCM imeukataa hata ule mpango wa mwalimu Nyerere wa kura za ndiyo na hapana. Imenajisi ardhi na hewa tunayopumua.
CCM imetusababisha sisi kama taifa tuonekane tunanuka. Tunanuka kama kinyesi mbele ya mataifa ya dunia. Tutawekwa kando au kufukiwa kama kinyesi mbele za mataifa.
Kwa sababu hizi, ni haki ya raia kujiandaa kwa namna zote ziwazo kuiondoa madarakani CCM kwa staili iliyomwondoa Comrade Muamar Ghadafi, mwamba wa Afrika.
Raia wanapaswa kujiandaa kwa namna zote ili itakapoondolewa tusifikie kusambaratika kama Somalia na Libya.
Taasisi za kiraia zianze maandalizi murua ya kuandaa watu wa kuokoa jambazi lisizame kabisa siku CCM inaangushwa rasmi.
Nawasilisha.
CCM imevurubuni vyombo vya usalama na kupora haki ya msingi ya watanzania wote ya kuchagua na kuchaguliwa.
CCM imesimamia uporaji wa haki ya wananchi kujipatia viongozi wanaowataka. Badala yake imesimika kwa lazima na kidikteta viongozi wa vitongoji, vijiji na mitaa kwa kuengua wengine wote.
CCM imeukataa hata ule mpango wa mwalimu Nyerere wa kura za ndiyo na hapana. Imenajisi ardhi na hewa tunayopumua.
CCM imetusababisha sisi kama taifa tuonekane tunanuka. Tunanuka kama kinyesi mbele ya mataifa ya dunia. Tutawekwa kando au kufukiwa kama kinyesi mbele za mataifa.
Kwa sababu hizi, ni haki ya raia kujiandaa kwa namna zote ziwazo kuiondoa madarakani CCM kwa staili iliyomwondoa Comrade Muamar Ghadafi, mwamba wa Afrika.
Raia wanapaswa kujiandaa kwa namna zote ili itakapoondolewa tusifikie kusambaratika kama Somalia na Libya.
Taasisi za kiraia zianze maandalizi murua ya kuandaa watu wa kuokoa jambazi lisizame kabisa siku CCM inaangushwa rasmi.
Nawasilisha.