Ng'wanangwa JF-Expert Member Joined Aug 28, 2010 Posts 10,827 Reaction score 4,176 Oct 1, 2010 #1 Kura za maoni zilimsaidia Obama kuingia White House. Mimi nina amini na kuheshimu kura za maoni...Wewe Je? Karibu Jamvini 1. Tanzania Opinion Poll Service: Tanzania General Election 2010 2. RFA: Page not found | Radio Free Africa 3. Majira: Nani anafaa kuwa Rais wa Tanzania - 2010 -2015
Kura za maoni zilimsaidia Obama kuingia White House. Mimi nina amini na kuheshimu kura za maoni...Wewe Je? Karibu Jamvini 1. Tanzania Opinion Poll Service: Tanzania General Election 2010 2. RFA: Page not found | Radio Free Africa 3. Majira: Nani anafaa kuwa Rais wa Tanzania - 2010 -2015
Rutashubanyuma JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 219,468 Reaction score 911,184 Oct 1, 2010 #2 I agree with your observation.
M Malunde-Malundi JF-Expert Member Joined Jan 10, 2008 Posts 1,288 Reaction score 131 Oct 1, 2010 #3 Agree; tafiti za mwaka huu zimeonyesha njia; muda si mrefu atashindwa kupiga hata kampeni maana kila sehemu atakuwa anazomewa kwa kukosa hoja
Agree; tafiti za mwaka huu zimeonyesha njia; muda si mrefu atashindwa kupiga hata kampeni maana kila sehemu atakuwa anazomewa kwa kukosa hoja
Kachanchabuseta JF-Expert Member Joined Mar 8, 2010 Posts 7,264 Reaction score 678 Oct 1, 2010 #4 I agree with u
A August JF-Expert Member Joined Jun 18, 2007 Posts 9,327 Reaction score 5,206 Oct 1, 2010 #5 sema tuongeze tu juhudi za kuwahakikishia watu wa vijijni, kwamba kura ni siri na wasitukuze ufisadi au mafisadi, kumpigia kura fisadi ni kubariki ufisadi, wala hawaji saidi.
sema tuongeze tu juhudi za kuwahakikishia watu wa vijijni, kwamba kura ni siri na wasitukuze ufisadi au mafisadi, kumpigia kura fisadi ni kubariki ufisadi, wala hawaji saidi.