Opinion

banywanenyuma

Member
Joined
Jan 29, 2013
Posts
53
Reaction score
20
Hi,
Ndugu wasomaji wote.
Tunaposema mambo ya udini,wale wanao kuwa wanataka kubadilishana vituo ili warudi kwao huwa wanataka nini?
Walimu walio wengi huomba kurudi kwao ili mwisho wa siku walimu wote wawe kwenye wilaya zao.Kweli hapo kuna ute4ndaji kazi?Ukiwa katika wilaya zingine lazima upige kazi kwa kujituma kwasababu hakuna kukenuliana.Ukiwa kwenu lazimaq tutalindana.Kuna kazi hapo?Hawa Ghasia chukua hatua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…