Opportunists hata kama ajira hakuna lakini mnawatumia watu vibaya

Opportunists hata kama ajira hakuna lakini mnawatumia watu vibaya

Rebeca 83

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2016
Posts
15,136
Reaction score
32,268
embu tuongee ukweli,

hivi hao mnaowapelekea training ya forex trading ni watu gani??

mie nahisi mna prey kwa watu wasio na kazi,

wengine hata basic computer skills hawana ,

mnawapelekea training ambayo they are bound to fail,

Ajira hakuna ndio lakini hio sio sababu ya nyie opportunists kuwatumia watu!

eti mnaenda mikoani,

jamanii kabisaaa???!!!
 
wanakuambia wanapata faida milion 40 kwa wiki

mimi nawalani mods tu wanajua forex ina utapeli ila wanakaa kimya tu huku tovuti kibao africa zimekemea.. nairaland wamekemea. JamiiForums.com wamekemea, mashada wamekemea.. ila jamii forums wanailinda forex kama nao wana hisa vile.. kweli pesa mwanaalamu... jina ambalo jamiiforums wamelijenga miaka kibao watalipoteza siku moja tu wasipokuwa makini kukemea vitu ambavyo haviko straight.. wenzao sio wajinga wanaokemea huo ujinga.. ni sababu wanalinda member wao na jina lao walilolijenga miaka kibao

mtu anakwambia anapata faida milion 40 arobaini kwa wiki huku hachoki kuibia watanzania visenti vyao...

akiulizwa maswali ya hoja anakimbilia kuweka mapicha picha na kuingia mitini.. juzi kaweka picha ya range.. watu wenye akili wakamuuliza kadi ya gari akakimbia kwa spidi kali
 
embu tuongee ukweli,

hivi hao mnaowapelekea training ya forex trading ni watu gani??

mie nahisi mna prey kwa watu wasio na kazi,

wengine hata basic computer skills hawana ,

mnawapelekea training ambayo they are bound to fail,

Ajira hakuna ndio lakini hio sio sababu ya nyie opportunists kuwatumia watu!

eti mnaenda mikoani,

jamanii kabisaaa???!!!
[emoji121]
MKUU,

ACHA UJINGA!!!

WEWE KAMA HUNA MZUKA NA HII MAMBO-TULIA.

USIHARIBU MIRADI YETU YA UDUFUAJI ,
HUJUI NI KIASI WATU TIMEFAITI KUGUNDUA HII FURSA!!!

[emoji377] [emoji124] [emoji469] [emoji377] [emoji124] [emoji469] [emoji377] [emoji124] [emoji469]
 
Unaweza kumlaumu mtu anayejipeleka kwenye training ya forex wakati hajui kiingereza cha kuombea maji wala computer.

Lakini kumlaumu anayetaka kufundisha ni kumuonea,unajuaje kwamba hawa wasiojua mambo ni magenius waliojificha kwa kukosa nafasi tu?
 
Waulize waliopita ktk training alafu ndo utajua kila kitu kipo advanced forex haiitaji hata uwe na cheti cha kampiyuta
 
wanakuambia wanapata faida milion 40 kwa wiki

mimi nawalani mods tu wanajua forex ina utapeli ila wanakaa kimya tu huku tovuti kibao africa zimekemea.. nairaland wamekemea. JamiiForums.com wamekemea, mashada wamekemea.. ila jamii forums wanailinda forex kama nao wana hisa vile.. kweli pesa mwanaalamu... jina ambalo jamiiforums wamelijenga miaka kibao watalipoteza siku moja tu wasipokuwa makini kukemea vitu ambavyo haviko straight.. wenzao sio wajinga wanaokemea huo ujinga.. ni sababu wanalinda member wao na jina lao walilolijenga miaka kibao

mtu anakwambia anapata faida milion 40 arobaini kwa wiki huku hachoki kuibia watanzania visenti vyao...

akiulizwa maswali ya hoja anakimbilia kuweka mapicha picha na kuingia mitini.. juzi kaweka picha ya range.. watu wenye akili wakamuuliza kadi ya gari akakimbia kwa spidi kali
anzA kukemea wewe mkuu
 
Waulize waliopita ktk training alafu ndo utajua kila kitu kipo advanced forex haiitaji hata uwe na cheti cha kampiyuta

nyie endeleeni kuwaibia watanzania wenzenu,iko siku mtayalipa haya yote...smh
 
[emoji121]
MKUU,

ACHA UJINGA!!!

WEWE KAMA HUNA MZUKA NA HII MAMBO-TULIA.

USIHARIBU MIRADI YETU YA UDUFUAJI ,
HUJUI NI KIASI WATU TIMEFAITI KUGUNDUA HII FURSA!!!

[emoji377] [emoji124] [emoji469] [emoji377] [emoji124] [emoji469] [emoji377] [emoji124] [emoji469]

wewe hivi kwa nini Rebeca akiweka mada lazima uitifue tifue??? una deni nikulipe???
 
nyie endeleeni kuwaibia watanzania wenzenu,iko siku mtayalipa haya yote...smh
Hakuna anaeibiwa mamy mfano mimi nipo nasubiri ka fursa hapa kwenye chat yangu nimekatega mwenyew sas nani anaiba na kwa njia gani kama ni hizo laki mbili wanzokusanya ni ada tu na unasoma kitu kipya sasa unaibiwaje hapo my
 
wewe hivi kwa nini Rebeca akiweka mada lazima uitifue tifue??? una deni nikulipe???
FB_IMG_1513854217067.jpg
 
wewe hivi kwa nini Rebeca akiweka mada lazima uitifue tifue??? una deni nikulipe???
[emoji121]
WEWE KAMA UNATAKA HII FURSA SEMA USAIDIWE MKUU!!!

SIO UNAZUNGUKAZUNGUKA TU KAMA UMEMEZA MFUPA WA BOKO!!!
[emoji377] [emoji124] [emoji469] [emoji377] [emoji124] [emoji469] [emoji377] [emoji124] [emoji469]
 
Hiz mambo kuna mtu leo kalia..kanifata nikamwambia hakuna mchezo unaohusisha pesa dunian, michezo yote inaanza na matukio mengne kabsa then pesa ndio zawad sio pesa kujumuishwa kwenye mchezo lazma ulizwe.
 
Back
Top Bottom