okHiz mambo kuna mtu leo kalia..kanifata nikamwambia hakuna mchezo unaohusisha pesa dunian, michezo yote inaanza na matukio mengne kabsa then pesa ndio zawad sio pesa kujumuishwa kwenye mchezo lazma ulizwe.
Pictures say a thousand words buddyka fursa kalitiki nilichovuna ni hicho niliset take profit imefikiwa nikiwa na njozi mida ya wangaView attachment 661673 View attachment 661674 View attachment 661675
matapeli naona mmekuja na mapicha picha.. wakiulizwa swali badala ya kujibu wanapumbaza watu na mapicha picha
Exactly mkuu kama hawaelewi wataelewa wakiwa na lecture chuoniPictures say a thousand words buddy
Ufafanuzi wa hizi picha plska fursa kalitiki nilichovuna ni hicho niliset take profit imefikiwa nikiwa na njozi mida ya wangaView attachment 661673 View attachment 661674 View attachment 661675
Mkuu pitia nyama choma hapa[emoji41] [emoji41] .Infact sina cha nyongeza na ndio ukweli wote huo,me napigia [emoji419] tu.Ki ukweli kabisa toka ku moyo wangu, nashindwa kuwashangaa wanao kemea Forex!! Hii kitu sio utapeli na kama kuna utapeli wala wanaoufanya sio hao mnaowasema eti wanawaita watu kwenye training!! Wanaoweza kuwa MATAPELI ni baadhi ya maBroker!! (Hawa for sure miongoni mwao kuna MATAPELI)
Kinachowatatiza watu ni kuwa wanahisi Forex ni mchezo! Ndugu zangu huu si mchezo!!! Ni biashara halisi na ni kazi kama zilivyokazi nyingine!!
Jaribu kujiuliza yafuatayo,:
1. Kuna fursa nyingi katika kilimo, je, wote tunalima!?! Wanao lima, je, wote wanapata faida!? Hakuna wanaoshindwa na kuachana tena hadi kulaani kilimo!?
2. Kuna fursa nyingi za biashara ndogo ndogo mtaani kama kuchoma mahindi, kuuza nyanya, machungwa, viazi wakati wa ramadhani etc! Je, mtaani wote tunafanya hizi biashara!? Na wanaofanya wote wanapata faida sawa!?! Hakuna wanaoshindwa na kufunga magenge yao!?
Ndivyo ilivyo hata kwenye FOREX!! Bahati mbaya sana hii inahitaji ujanja, Elimu (utake usitake hapa Forex lazima uwe umesoma tena uwe vizuri kichwani!!), kuifahamu dunia hasa hasa kwenye nyanja za uchumi na siasa! Zaidi ya yote WANAOFAIDIKA ZAIDI NI WENYE MITAJI MIKUBWA!!!
Wanaolalamika wengi walikurupuka walipoanza kuiskia Forex (nadhani pia walivutwa na kuhamasika na promosheni yake!). Siku zote kuna watu wameumbwa kuona fursa ndani ya fursa!! Mmoja wao ni huyo aliyeileta fursa ya Forex!
Kuona fursa ndani ya fursa sio dhambi wala sio kosa wala si kitu cha kukemea!!! Zaidi zaidi ni kitu cha kuongeza!!!! Hata huko wanakolima nyanya, kuna baadhi ya wakulima wanaonaga fursa ndani ya fursa kwa wakulima wenzao!! Hao ndo OPPORTUNISTS kama alivyowaita mleta Mada!!
Kama ni mvivu wa kujifunza, huna abcs za changes za dunia na zinavyoathiri fedha duniani, Forex haitakuwa rafiki yako hata siku moja kama mkulima asiyejua misimu ya mazao na aina ya udongo unaokubali zao husika!
Daah unaitaji darasa kwa ufupi ni work chart na profit zakeUfafanuzi wa hizi picha pls
Rebeca 83 Ahaaaaaembu tuongee ukweli,
hivi hao mnaowapelekea training ya forex trading ni watu gani??
mie nahisi mna prey kwa watu wasio na kazi,
wengine hata basic computer skills hawana ,
mnawapelekea training ambayo they are bound to fail,
Ajira hakuna ndio lakini hio sio sababu ya nyie opportunists kuwatumia watu!
eti mnaenda mikoani,
jamanii kabisaaa???!!!
Rebeca 83 Ahaaaaa
Waliolipa ili wapate hiyo fursa ilikuwa sh 130,000 darasa la lake zone ll wengi walitoka mikoani sasa unaposema hawana kazi !!!?
-Walifikaje mwanza na kukaa wiki 1
-Usafiri town trip nenda na kurudi ulipofikia???
-Chakula + malazi ???
-Nauli ya kurudi walipotoka???.
***Rebecca umeandika kiushabiki***
Hapo Rebecca utaelewa kidogowameuza magunia ya mahindi,kuja kuibiwa na nyie watoto wa mjini,,,,,,ππππππ
Jifunze taratibuwameuza magunia ya mahindi,kuja kuibiwa na nyie watoto wa mjini,,,,,,ππππππ
Darasa la January ada nitakulipia ingawa na beba magunia -"Rebecca 83"naona umekuja kuniconfront,ni hivi mna record ya watu mnaowafundisha,niambie ni kundi gani kubwa katika hao?? kama sio watu wasio na kazi?
Usiogope tazama aliyefundisha forex bongo yupo Pretoria wanatoa madini ya forex sisi bongo majungu sana.Asante mkuu,ingawa unalolifanya kama umeiua nafsi sikushangai,hizi kebehi nitakua nimegusa mfupani,all I can say,is pole.