Opportunists. . . .

Mambo yaliyopita yanaweza yakatabiri yajayo au wakati mwingine ni kinyume chake,unachotakiwa hapa ni kuangalia anachotenda na sio anachosema.Anaweza akajikopi kwenye wema lakini kama hatarajii kuwa mwema utaiona tabia yake muda sio mrefu.Kwa tahadhari watu hawa mara nyingi ni wazuri sana kwenye kujidai ni wema,pia huwa ni mara chache sana kubadilika!
 
Hah ni kweli mamii kuwa akikutenda the same lazima uyakumbuke ya kale ila ndo hivyo tena.

Ila si inawezekana pia mtu kuchange kabisa?
Inawezekana sema ni ngumu sana mtu kuacha yale aliyozoea,kwahiyo kuna nafasi kubwa akaendelea vilevile .
 
its very true RR ,mkiingia kwny r?shp mkiwa na malengo sawa u will b on th same boat na mnapotaka kubadili hayo malengo u move together or mnasplit kila mtu na malengo yake kupata wahusika wny malengo hayo mnayofanana nayo.
 
Kupenda hakutakiwi kumfanya mtu mjinga, siku hizi kwa jinsi watu walivyo wasanii ni muhimu kichwa kikahusishwa kwenye maamuzi badala ya kutegemea moyo pekee.

Mind and heart are always on conflict Lizzy. Its hard to combine the two when it comes to love. Sijui vijana wa sasa ivi but during my time, watu mnachukuana mko chokest tu na life goes on.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…