Ulimwengu wa Internet unabadilika kila siku....wapo wanaoneemeka na wapo mazuzu wanaoibiwa kwenye mitandao kutokana na uchanga wao kwenye mambo ya Internet. Hivi sasa kuna kitu imeanzishwa; jaribu kugonga hapa WAZZUB - The Power of "We"! ili upate maelezo zaidi. Kwa kifupi, huo ni mtandao sawa na Google, Yahoo, Facebook au mtandao mwingine wowote unaoufahamu! Tofauti iliyopo ni kwamba, waanzishaji wa mtandao huu wanadai kwamba kwa wale watakaojiunga nao(members), watakuwa wanalipwa malipo kutokana na matangazo yatakayopatikana kwenye mtandao huu! Wapo, wanaoamini kwamba jambo hilo ni la kweli (kwamba members watalipwa) na wapo ambao hawaamini kabisa! Binafsi, ninaamini kwamba, ktk dunia hii lolote linawezekana! Unachotakiwa kufanya ni umakini wako tu!! Kama jambo lenyewe linakuambia utoe kwanza pesa, then achana nalo! You are looking for money; so how come utoe pesa kwa mwingine kirahisi rahisi tu hivi!!
Uzuri wa hao jamaa kwenye hiyo link, hawatozi chochote; ila wanadai watakaojiunga watakuwa wanalipwa!!!! Imekaaje hii?! Kwamba, unajiunga, then unawa-invite wenzako idadi yoyote ile! Assume ume-invite 5 friends, na wao kila mmoja aka-invites 5 friends, na hao nao kila mmoja akafanya hivyo hivyo, inaweza kufikia wakati kwenye chain yako ikawa na members 625! Ifikapo hatua hiyo, jamaa wanadai mtu kama huyo anaweza akawa analipwa Dola za USA 3125, yaani zaidi ya Shilingi 4,600,000/= kwa mwezi!!!! Yaani, ipo hivi:
1st. Generation 5 x $1.00 = $ 5.00
2nd. Generation 25 x $1.00 = $ 25.00
3rd. Generation 125 x $1.00 = $ 125.00
4th. Generation 625 x $1.00 = $ 625.00
5th. Generation 3125 x $1.00 = $3,125.00
Mnaonaje hapo waungwana?! Inawezekana au haiwezekani?! Mimi sijui, lakini nime-join kwenye hii kitu kwavile sina cha kupoteza!! Na wewe nakushauri jaribu kwavile hauna cha kupoteza! Hata hivyo, usithubutu kulipa fedha yoyote kwa hatua yoyote, unless kama umejiridhisha kwamba hauibiwi!
Unachotakiwa kufanya hapo, ni kugonga kwenye hii link WAZZUB - The Power of "We"! na kuifuata, kisha unajisajili! Ukishafanya hivyo, nawe utapewa link yako ambayo utaitumia ku-invites your fellows! Unaweza kutumia njia unayoiona ni muafaka kwako katika ku-invites friends. Unaweza kuwatumia link utakayopewa kwa njia ya e-mail au unaweza kuweka maelezo kama nilivyofanya mimi! Aidha, upo huru ku-copy haya maelezo yangu na kuyatumia na link yako! Jambo la kukumbuka ni kwamba, ukitumia haya maelezo yangu, basi toa hiyo link ya kwangu kisha paste link yako utakayopewa wewe! Ukisahau kufanya hivyo (kuweka link yako), utakuwa unainenepesha account yangu!
.....usisahau kwamba ni wale wanafunzi wa mwanzo kabisa ambao waliamini na kuamua kumfuata YESU ndio waliopiga bao! Si hivyo tu, pia ni wale Maswahaba wa mwanzo walioamua kumuamini na kumfuata Mtume Muhammed (SAW) ndio ambao walineemeka kwanza na mafundisho kutoka kwa Allah! Nashauri wengi tujaribu hii kitu, halafu tupeane taarifa hapa hapa FB itakapofika hapo May 2012 ambapo malipo ya awali wanadai yatafanyika kwa members wake watakao-register!
Kama una swali lolote, just ask. Unfortunately, my office is a busy office giving no room to call! Therefore, kama utakuwa na swali lolote, just beep this number: 0783 87 43 43 .Nikiona missed call yako, nitakuja hapa kujibu swali lako!
Best wishes!
Uzuri wa hao jamaa kwenye hiyo link, hawatozi chochote; ila wanadai watakaojiunga watakuwa wanalipwa!!!! Imekaaje hii?! Kwamba, unajiunga, then unawa-invite wenzako idadi yoyote ile! Assume ume-invite 5 friends, na wao kila mmoja aka-invites 5 friends, na hao nao kila mmoja akafanya hivyo hivyo, inaweza kufikia wakati kwenye chain yako ikawa na members 625! Ifikapo hatua hiyo, jamaa wanadai mtu kama huyo anaweza akawa analipwa Dola za USA 3125, yaani zaidi ya Shilingi 4,600,000/= kwa mwezi!!!! Yaani, ipo hivi:
1st. Generation 5 x $1.00 = $ 5.00
2nd. Generation 25 x $1.00 = $ 25.00
3rd. Generation 125 x $1.00 = $ 125.00
4th. Generation 625 x $1.00 = $ 625.00
5th. Generation 3125 x $1.00 = $3,125.00
Mnaonaje hapo waungwana?! Inawezekana au haiwezekani?! Mimi sijui, lakini nime-join kwenye hii kitu kwavile sina cha kupoteza!! Na wewe nakushauri jaribu kwavile hauna cha kupoteza! Hata hivyo, usithubutu kulipa fedha yoyote kwa hatua yoyote, unless kama umejiridhisha kwamba hauibiwi!
Unachotakiwa kufanya hapo, ni kugonga kwenye hii link WAZZUB - The Power of "We"! na kuifuata, kisha unajisajili! Ukishafanya hivyo, nawe utapewa link yako ambayo utaitumia ku-invites your fellows! Unaweza kutumia njia unayoiona ni muafaka kwako katika ku-invites friends. Unaweza kuwatumia link utakayopewa kwa njia ya e-mail au unaweza kuweka maelezo kama nilivyofanya mimi! Aidha, upo huru ku-copy haya maelezo yangu na kuyatumia na link yako! Jambo la kukumbuka ni kwamba, ukitumia haya maelezo yangu, basi toa hiyo link ya kwangu kisha paste link yako utakayopewa wewe! Ukisahau kufanya hivyo (kuweka link yako), utakuwa unainenepesha account yangu!
.....usisahau kwamba ni wale wanafunzi wa mwanzo kabisa ambao waliamini na kuamua kumfuata YESU ndio waliopiga bao! Si hivyo tu, pia ni wale Maswahaba wa mwanzo walioamua kumuamini na kumfuata Mtume Muhammed (SAW) ndio ambao walineemeka kwanza na mafundisho kutoka kwa Allah! Nashauri wengi tujaribu hii kitu, halafu tupeane taarifa hapa hapa FB itakapofika hapo May 2012 ambapo malipo ya awali wanadai yatafanyika kwa members wake watakao-register!
Kama una swali lolote, just ask. Unfortunately, my office is a busy office giving no room to call! Therefore, kama utakuwa na swali lolote, just beep this number: 0783 87 43 43 .Nikiona missed call yako, nitakuja hapa kujibu swali lako!
Best wishes!