Opposition MPs to lead key Bunge committees: Lowassa in; is this a positive move?

Mh. Lowassa, Mh. Lowassa, mzee wa watu, mzazi wa watu, baba wa watu... nakusihi nakusihi nakusihi - ng'atuka katika siasa. Vilio vya Watanzania na majonzi yao ni mengi baba. Wasikilize na kufanya jambo la busara kwa kuondoka katika siasa. Kumbuka Mwenyezi Mungu husikia vilio vya wengi na nina imani wewe ni mcha Mungu. Hivyo utafanya jambo la maana sana kama hutojiingiza katika siasa tena. Ahsante.
 


Faida kwenye hili ni kwamba kama watakataa ina mana Mjumbe ama mtu wa Upinzani kama kawaida maneno Jagwani na mambo hadharani tunaanzia hapo .Wakiwa nje kabisa kunakuwa na siri kubwa .Ila Bunge na wabunge sasa wanajua kwamba Dunia ni ndogo na hakuna siri tena .So wacha waende huko tuone tusilalame kabla hawajaanza kazi .
 

Huyu Lowasa inabidi apewe one on one na yule mtoto wa mwanza aliyempiga bonge la swali na mwamuzi wa hiyo mechi awe ni our own Mwanakijiji akisaidiwa na washika vibendera bibi senti na mchambuzi the great quiter moran ... papa propaganda!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…