Opposition parties in Tanzania need to join forces when the country goes to the polls

Juzi hapa niliandika kuhusu issue kama hii.

Kama wanataka kuiondoa ccm lazima mbinu zianzie kwa mwenyekiti wa tume ambaye ni ccm damu, then kwa hawa wakurugenzi ambao wengi ni ndg, jamaa na marafiki.

Hao wakikubali kutokqna na matokeo kuonyesha upinzani kweli kashinda basi ccm bye bye, otherwise ni hadithi hizi tunazopeana hapa.
 
Mimi na jiwe mtu akiandika English anakuwa kama anatufokea!
 

Hawa wanayo miradi yao, ukiwemo ule wa kuwahamasisha wafuasi wao na viongozi kuvunja sheria makusudi kama kuandamana. Wakisha kamatwa na kufunguliwa kesi ndio wenye mradi wa kutetea kesi na mahakamani sehemu mbalimbali wanafanya yao.

Miradi mingine ni pango la ofisi kuu ya chama. Hilo liko kwa majibu wa kumuenzi mtu. Ukijenga makao makuu biashara ya pango itakufa.

Uko mradi wa fuso chakagu za mass communications katika historia ya chama hiki. Yule Muhindi anaitwa Sabodu alipata akili baadaye, ulisha msikia tena. Aliona anajaza maji kwenye pakacha.

Wakati EL yuko huko kuna jamaa mmoja yeye ni msimamizi wa kampeni za cdm wa maisha. Basi unaambiwa alikuwa akimletea mzee Mamvwi maandiko ya mpango kazi na budget ikabidi familia ingilie kati kudhibiti vyanzo vya mapato vya Mzee mzima.
 
mawazo yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…