OR-Tamisemi kuchelewa kuita waombaji wa ajira kufanya usaili shida kubwa ni nini?

OR-Tamisemi kuchelewa kuita waombaji wa ajira kufanya usaili shida kubwa ni nini?

MONEY IS NOT EVERYTHING

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2024
Posts
424
Reaction score
765
Habari...kuna ajira zilitangazwa mwaka jana tarehe 3.8.2024 Za wasaidizi wa hesabu daraja 1 Sasa ni miezi sita hawajaita watu kufanya usaili shida kubwa hapo ni nin, wenye ujuzi wa haya mambo tufahamishe je, nimuda gani waombaji wanaweza kuitwa kwenye usaili baada ya kuomba au haina ukomo?Tufumbuane macho hapo jamani.Mwanangu aliomba hyo ajira anashangaa akiingia kwenye akaunti yake anakuta bado ni Received.
 
Kuna Nemc Afisa mazingira zile za LGA afisa mazingira toka mwaka mwezi 8 jana dogo ameomba kimya.
 
Habari...kuna ajira zilitangazwa mwaka jana tarehe 3.8.2024 Za wasaidizi wa hesabu daraja 1 Sasa ni miezi sita hawajaita watu kufanya usaili shida kubwa hapo ni nin, wenye ujuzi wa haya mambo tufahamishe je, nimuda gani waombaji wanaweza kuitwa kwenye usaili baada ya kuomba au haina ukomo?Tufumbuane macho hapo jamani.Mwanangu aliomba hyo ajira anashangaa akiingia kwenye akaunti yake anakuta bado ni Received.
Hawa jamaa watoe tamko kama zipo au hazipo
 
Back
Top Bottom