Mm nilianzisha uzi hapa wa UDOM. Niki omba mchakato mzima wa selection, kuita watu, interview (written na Oral) ufanywe na utumishi 100% siyo vyuo.
Exactly. Tutalifikisha kwa Ummy.Mm nilianzisha uzi hapa wa UDOM. Niki omba mchakato mzima wa selection, kuita watu, interview (written na Oral) ufanywe na utumishi 100% siyo vyuo.
Unaweza pata namba ya UMMY nimpe hii habariNeutrality - bila maskini kuutumia vyema mtaji wetu? Tutasubiria sana.
Niliona na watu walikushambulia sna kunbe hawajui adhari zake Ni zipi Ni Mara Mia kwenda ddm kupiga interview kuliko unipeleke taasis husikaa bladfaekiniMm nilianzisha uzi hapa wa UDOM. Niki omba mchakato mzima wa selection, kuita watu, interview (written na Oral) ufanywe na utumishi 100% siyo vyuo.
Basi hili limetokea bugando. Waliochaguliwa wote ni wanaume ambao ni maveteran pale kwa ajira ya mikataba.Niliona na watu walikushambulia sna kunbe hawajui adhari zake Ni zipi Ni Mara Mia kwenda ddm kupiga interview kuliko unipeleke taasis husikaa bladfaekini
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Unaweza pata namba ya UMMY nimpe hii habari
Kaka wewe kupata kazi nadhani ni mpaka usifanye hiyo interview.Niliona na watu walikushambulia sna kunbe hawajui adhari zake Ni zipi Ni Mara Mia kwenda ddm kupiga interview kuliko unipeleke taasis husikaa bladfaekini
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kama pass mark ni 50, then kama wanahitajika say 10 na 1-10 ni wanaume kwa marks, then kama kuna mwanamke anafuata ni wa 11 say na pass mark ya 50, basi apewe nafasi...gender balance as long as ana qualifyKwamba mkifanya interview lazima mwanamke apass mbona mawazo mfu hayo tatizo wadada mnataka mbebwe tu