Habari za weekend na poleni kwa majukumu.
Hivi karibuni kada mbalimbali za afya zilikuwa katika usaili was written na oral vikisimamiwa na ofisi ya rais utumishi wa umma
Kwanza niwape pongezi wote waliofanikiwa kushiriki katika saili hizi zote mbili.
Kwenye Thread hii naomba mtujuze Oral interview ilikuwaje kwa ujumla
Je maswali yalikuwaje?
Je ni walizingatia maarifa yua chuo au job description yao?
Naomba mtupe feedback ambao bado tunajiandaa
Utawala2025
Hivi karibuni kada mbalimbali za afya zilikuwa katika usaili was written na oral vikisimamiwa na ofisi ya rais utumishi wa umma
Kwanza niwape pongezi wote waliofanikiwa kushiriki katika saili hizi zote mbili.
Kwenye Thread hii naomba mtujuze Oral interview ilikuwaje kwa ujumla
Je maswali yalikuwaje?
Je ni walizingatia maarifa yua chuo au job description yao?
Naomba mtupe feedback ambao bado tunajiandaa
Utawala2025