TZINVESTOR
Senior Member
- May 29, 2014
- 106
- 23
Jamani nina order ya vitlfuatavyo:
1. kupeleka sangara Ulaya....kwa mwezi jamaa wanataka tani 50
Je naweza kupata contacts za wauzaji?
Je kwa kilp moja dola ngapi?
2. Nahitajo kununua gold...toka kwa wachimbaji wakubwa au serikali.
Hii ni serious deal tukikubaliana kila kitu laIma kitapitiwa na assayers kisha malipo yatafanyika.
Kiaai...tunataka kuanzia kilo moja ans above...
3. Pia kwa watu mliopo nchi za Nje na husuaana arabuni. Client anahitaji LNG lakini sisi role yetu ni introduction tuu kisha we are out....
4. Nahitaji matunda ya aina mbali mbali kwa ajilinya kupeleka ulaya. Bei na mengineyo ni maelewano
Kama kuna mtu anaona anahitaji kuongea zaidi bas anaweza kunitumia PM..lakini nataka watu serious only.
Asanteni
1. kupeleka sangara Ulaya....kwa mwezi jamaa wanataka tani 50
Je naweza kupata contacts za wauzaji?
Je kwa kilp moja dola ngapi?
2. Nahitajo kununua gold...toka kwa wachimbaji wakubwa au serikali.
Hii ni serious deal tukikubaliana kila kitu laIma kitapitiwa na assayers kisha malipo yatafanyika.
Kiaai...tunataka kuanzia kilo moja ans above...
3. Pia kwa watu mliopo nchi za Nje na husuaana arabuni. Client anahitaji LNG lakini sisi role yetu ni introduction tuu kisha we are out....
4. Nahitaji matunda ya aina mbali mbali kwa ajilinya kupeleka ulaya. Bei na mengineyo ni maelewano
Kama kuna mtu anaona anahitaji kuongea zaidi bas anaweza kunitumia PM..lakini nataka watu serious only.
Asanteni