Mambaenock
JF-Expert Member
- Aug 7, 2013
- 427
- 107
Habari zenu wasomi.
ningependa kujua umuhimu wa orientation weeks zinazofanyika vyuo vikuu kabla ya kuanza masomo kwa ujumla na je mtu asipohudhuria atakuwa amekosa vitu gani vya muhimu.!?
nawasilisha.
Unadhani walioweka ni wajinga??
Habari zenu wasomi.
ningependa kujua umuhimu wa orientation weeks zinazofanyika vyuo vikuu kabla ya kuanza masomo kwa ujumla na je mtu asipohudhuria atakuwa amekosa vitu gani vya muhimu.!?
nawasilisha.
kinafanyika zaidi ni viongozi wa chuo kujitambulisha na pia wanafunzi wanapewa usia jinsi ya kuishi chuoni pamoja na kuelezwa mazingira ya chuo na utaratibu kwa jumla. Nimuhimu sana kuwepo lkn sio lazima
kinafanyika zaidi ni viongozi wa chuo kujitambulisha na pia wanafunzi wanapewa usia jinsi ya kuishi chuoni pamoja na kuelezwa mazingira ya chuo na utaratibu kwa jumla. Nimuhimu sana kuwepo lkn sio lazima
hiyo muhimu,ukitaka kujenga vizuri lazma u survey
hiyo muhimu,ukitaka kujenga vizuri lazma u survey
Habari zenu wasomi.
ningependa kujua umuhimu wa orientation weeks zinazofanyika vyuo vikuu kabla ya kuanza masomo kwa ujumla na je mtu asipohudhuria atakuwa amekosa vitu gani vya muhimu.!?
nawasilisha.
Wastage of time,me mwenyewe nina hisia za kudoj hiyo orientation..!kwanz tutakua hatuna boom,sasa si bora nilalie mgongo nyumbani
Ina umuhimu,
1.unayajua mazingira ya chuo
2.unawahi kufanya registration
3.kama una maswali au matatizo unapata muda wa kuyatatua
4.unaweza kubahatika kupata madesa
5.the sooner the better
6.hostel ni za shida,wahi ubahatike
7.ukiwa kama msomi jifunze kufata ratiba
Ina umuhimu,
1.unayajua mazingira ya chuo
2.unawahi kufanya registration
3.kama una maswali au matatizo unapata muda wa kuyatatua
4.unaweza kubahatika kupata madesa
5.the sooner the better
6.hostel ni za shida,wahi ubahatike
7.ukiwa kama msomi jifunze kufata ratiba
mkuu madesa ndo nini?
Ina umuhimu,
1.unayajua mazingira ya chuo
2.unawahi kufanya registration
3.kama una maswali au matatizo unapata muda wa kuyatatua
4.unaweza kubahatika kupata madesa
5.the sooner the better
6.hostel ni za shida,wahi ubahatike
7.ukiwa kama msomi jifunze kufata ratiba