Kila la kheri wadogo zetu nakumbuka enzi hizo nimechaguliwa hujui maeneo sa mtu anakwambia nenda Library.. kule Yombo anakuelekeza kama unajua wakati hata haujui...
Sema wakati nasoma Advance tulikua tunasoma hayo maeneo ikawa bahati kujua baadhi ya maeneo..
unaambiwa nenda yombo unajikuta cafeteria2